Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Je, mimi ni msichana Albino ninaweza kupata mimba kama nikijamiiana mara moja tu?

Featured Image

Ndiyo msichana anaweza kupata mimba kwa kujamiiana mara
moja tu bila kujali ana rangi gani ya ngozi. Wasichana weupe,
weusi na wanaoishi na ualbino au wasio na ulemavu wa ngozi
wanafanana wote inapokuja kwenye suala la uwezekano wa
kupata mimba. Kinachobainisha/ kinachosababisha upatikanaji
wa mimba ni wakati tendo la kujamiiana linapofanywa na hatua
ya mzunguko wa hedhi. Kama yai lililopevuka kwa ajili ya
kurutubishwa litakuwa tayari basi ujauzito utatokea mara tu
baada ya mbegu ya mwanaume kuingia, (wakati wa kujamiiana).
Ujauzito unaweza kutokea hata kama msichana alikuwa bado
bikira na ni mara yake ya kwanza kujamiiana.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Nifanyeje Kukabiliana na Hisia za Wivu Kuhusu Masuala ya Ngono

Nifanyeje Kukabiliana na Hisia za Wivu Kuhusu Masuala ya Ngono

Nifanyeje Kukabiliana na Hisia za Wivu Kuhusu Masuala ya Ngono? 🌟

Karibu kijana! Leo tu... Read More

Je, kuna dawa zozote za kutibu magonjwa ya zinaa?

Je, kuna dawa zozote za kutibu magonjwa ya zinaa?

Magonjwa mengi ya zinaa yana dawa za kutibu, kwa mfano: kisonono, kaswende, klamdia, kankroidi au... Read More

Unyanyasaji wa kijinsia

Unyanyasaji wa kijinsia

Kuna aina nyingi za unyanyasaji wa jinsia na unaweza kutokea kwa wote wanaume na wanawake. Kwa kawai... Read More
Mtu anaweza kurithi uvutaji wa bangi?

Mtu anaweza kurithi uvutaji wa bangi?

Hapana, huwezi ukarithi uvutaji wa bangi. Lakini mara nyingi watoto huiga tabia za wazazi wao. Wa... Read More

Ninaweza kupata mimba wakati nipo kwenye hedhi?

Ninaweza kupata mimba wakati nipo kwenye hedhi?

Ili mwanamke aweze kushika mimba, i inabidi yai lililopevuka likutane na mbegu za kiume. Yai pevu... Read More

Nini matatizo ya watoto Albino shuleni?

Nini matatizo ya watoto Albino shuleni?

Ingawaje, akili zao hazina hitilafu watoto Albino mara nyingi
hawafanyi vizuri shuleni, na h... Read More

Jinsi ya Kujifunza Kujiheshimu na Kuheshimu Wengine kuhusu Ngono

Jinsi ya Kujifunza Kujiheshimu na Kuheshimu Wengine kuhusu Ngono

Jinsi ya Kujifunza Kujiheshimu na Kuheshimu Wengine kuhusu Ngono 😊🌍

Karibu sana kija... Read More

Utoaji wa zawadi kwa kubadilishana na kujamiiana

Utoaji wa zawadi kwa kubadilishana na kujamiiana

Kutoa zawadi kwa mtu kwa kubadilishana ili kujamiiana
ni unyanyasaji mbaya. Iwapo mpokeaji w... Read More

Je, unaweza kufa ukitumia dawa za kulevya?

Je, unaweza kufa ukitumia dawa za kulevya?

Ndiyo, unaweza. Kifo kinaweza kuwa cha ghafla au
kutokana na madhara ya muda mrefu katika vi... Read More

Kwa nini watu wanakunywa pombe?

Kwa nini watu wanakunywa pombe?

Unywaji wa pombe ni sehemu ya utamaduni wa Tanzania na nchi
nyinginezo duniani.

Watu h... Read More

Nifanyeje Kuelewa umuhimu wa Kujikinga na Maambukizi ya UKIMWI?

Nifanyeje Kuelewa umuhimu wa Kujikinga na Maambukizi ya UKIMWI?

Nifanyeje Kuelewa Umuhimu wa Kujikinga na Maambukizi ya UKIMWI? 🌍

Leo, tutaangazia umuh... Read More

Nifanyeje Kukabiliana na Hisia za Kukosa Ujasiri kuhusu Ngono?

Nifanyeje Kukabiliana na Hisia za Kukosa Ujasiri kuhusu Ngono?

Nifanyeje Kukabiliana na Hisia za Kukosa Ujasiri kuhusu Ngono? 😊

Karibu kwenye makala h... Read More