Kwa vile Albino hana tofauti na watu wengine inopokuja
kwenye suala la idadi ya watoto wa kuzaa jambo la msingi ni
yeye mwanamke au mwanaume Albino kuzaa idadi aliyojipangia
mwenyewe. Akitia maanani uwezo alio nao wa kuwatunza na
kuwapa mahitaji muhimu.

Je, watu wanaoishi na hali ya ualbino wanaweza kuzaa watoto wangapi?

Comments
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
No comments yet. Be the first to share your thoughts!