Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Ni hatua gani zinazochukuliwa na serikali ili kukomesha vitendo vya kuwinda Albino?

Featured Image

Kufuatia vitendo vibaya vya mauaji ya Albino, vilivyozuka
Tanzania tangu mwaka 2007 hadi sasa, Serikali imechukua
hatua kadhaa kurekebisha hali hiyo. Hatua hizo ni pamoja
na:
β€’ Kuliagiza jeshi la polisi kuwatafyta na kuwakamata wauaji
wa aalbino.
β€’ Kumteua Albino kuwa Mbunge wa Viti Maalumu Wanawake.
β€’ Kutangaza hadharani kuwa mauaji haya siyo utamaduni
β€’ bali ni uhalifu mbaya ambao lazima uchukuliwe hatua za
kisheria.
β€’ Kutaka mikoa yote watangaze majina ya watu wote wanahusika
na mauaji haya.
β€’ Kuliagiza jeshi la polisi kuwatafuta na kuwakamata
wauaji wa Albino.
β€’ Kuanzishwa kamati maalumu ya mahakimu ili kuharakisha
hukumu za wauaji.
β€’ Viongozi wa juu wote wanalaani vitendo hivi katika mikutano
ya hadhara na matukio maalumu kama wakati wa mbio
za Mwenge wa Uhuru mwaka 2009.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Nifanyeje kujiepusha na vishawishi vya mpenzi wangu vinavyoweza kunifanya nisitumie kondomu?

Nifanyeje kujiepusha na vishawishi vya mpenzi wangu vinavyoweza kunifanya nisitumie kondomu?

Mara nyingine siyo rahisi kujiepusha na vishawishi vya kujamiiana bila kutumia kondomu kutokana n... Read More

Jinsi ya Kutambua Ishara za Kuwa Tayari kwa Ngono

Jinsi ya Kutambua Ishara za Kuwa Tayari kwa Ngono

Jinsi ya Kutambua Ishara za Kuwa Tayari kwa Ngono 😊

Karibu kijana, leo tutaongelea jamb... Read More

Nani anavalisha kondomu ya kiume, je ni mwanamke au mwanaume?

Nani anavalisha kondomu ya kiume, je ni mwanamke au mwanaume?

Katika kufanya mapenzi iwe mwanaume anayeweka kondomu uumeni au iwe mwanamke anayeshugulika kuwek... Read More

Kwa nini watu wanakuwa na hulka ya kuua Albino?

Kwa nini watu wanakuwa na hulka ya kuua Albino?

Vitendo vya kuua Albino tunavyovishuhudia sasa ni mambo
mapya na kwa kila hali siyo njia sah... Read More

Kwa nini ni Lazima Kufanya Ngono na Mtu Mmoja Tu?

Kwa nini ni Lazima Kufanya Ngono na Mtu Mmoja Tu?

Kwa nini ni Lazima Kufanya Ngono na Mtu Mmoja Tu? 🌸

Asante kwa kujiunga nami katika mak... Read More

Kwa nini watu wengine wanaamua kutoa mimba?

Kwa nini watu wengine wanaamua kutoa mimba?

Hapa Tanzania utoaji wa mimba hauruhusiwi kisheria. Hata hivyo watu wengine wanaamua kutoa mimba ... Read More

Dawa za kulevya ni nini?

Dawa za kulevya ni nini?

Tunaposema dawa za kulevya ina maana ni matumizi mabaya ya dawa na hasa pale yatumikapo kinyume c... Read More

Je, mwanaume anaweza akajua kama amempa msichana mimba siku ileile walipojamiiana?

Je, mwanaume anaweza akajua kama amempa msichana mimba siku ileile walipojamiiana?

Hapana, hamna njia ya kufahamu kama amempa msichana mimba siku i ileile wanapojamii ana. Inachuku... Read More

Je, Ni Sahihi Kufanya Ngono na Mpenzi Wangu wa Mbali (Long-Distance)?

Je, Ni Sahihi Kufanya Ngono na Mpenzi Wangu wa Mbali (Long-Distance)?

Je, ni sahihi kufanya ngono na mpenzi wangu wa mbali? Swali hili limekuwa likiwasumbua vijana wen... Read More

Jinsi ya Kuwa na Mvuto wa Kipekee kwa Msichana

Jinsi ya Kuwa na Mvuto wa Kipekee kwa Msichana

Kila mtu anataka kuwa na mvuto wa kipekee kwa msichana. Lakini je, unajua jinsi ya kuwa na mvuto ... Read More

Njia za Kufanya Tarehe ya Kwanza Iwe ya Kusisimua na Msichana

Njia za Kufanya Tarehe ya Kwanza Iwe ya Kusisimua na Msichana

Unapokwenda kwenye tarehe ya kwanza na msichana, ni muhimu sana kufikiria njia za kufanya tarehe ... Read More

Je, ni kweli ukinywa maziwa baada ya kuvuta sigara huwezi kudhurika?

Je, ni kweli ukinywa maziwa baada ya kuvuta sigara huwezi kudhurika?

Hapana. Hii si kweli kwa sababu maziwa hayawezi kuondoa
uharibifu uliosababishwa na nikotini... Read More