Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMS💌💕
AckyShine

Mapishi ya Muhogo Na Mbatata Za Nazi Kwa Nyama Ngombe

Featured Image

Vipimo - Mahitaji Ya Nyama

Nyama ya n’gombe ya mifupa - 3 lb

Tangawizi mbichi ilosagwa - 1 kijiko cha supu

Kitunguu thomu - 1 kijiko cha supu

Bizari ya pilau/jira/uzile (cumin) - 1 kijiko cha supu

Ndimu - 1

Kitunguu kilokatwakatwa (chopped) - 1 cha wastan

Pilipili mbichi - 3 Zilizosagwa

Chumvi - Kiasi

Vipimo - Muhogo Na Mbatata/Viazi

Muhogo menya na ukate vipande pande - 2

Mbatata/Viazi menya ukate vipande vikubwa kiasi - 5 kiasi

Tui la nazi zito - 1 gilasi

Nyanya ilokatwakatwa au kusagwa - 1

Kitunguu kilokatwakatwa (chopped) - 1 kiasi

Bizari ya mchuzi - kiasi

Chumvi - kiasi

Namna Ya Kutayarisha Na Kupika

Osha nyama kisha weka katika pressure cooker au sufuria.
Tia viungo vyote vya nyama uchanganye vizuri, kisha ikorogekoroge mpaka maji yake yakaribie kukauka. Usifunike.
Tia maji kiasi ya kuivisha nyama na kubakisha supu yake kiasi ya kuivisha muhogo na mbatata. Muda wa kuivisha nyama inategemea nyama yenyewe na kama unatumia pressure cooker ni takriban dakika 35-40. Ikiwa sufuria ya kawaida utakuwa unaikoroga.
Mimina ndani ya supu, muhogo, mbatata, nyanya, kitunguu, bizari ya mchuzi, chumvi.
Acha ichemke uive muhogo na viazi.
Tia tui la nazi, changanya vizuri acha kwenye moto dakika chache tu.
Epua ikiwa tayari. Tolea na achari.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Mapishi ya Chicken Curry

Mapishi ya Chicken Curry

Leo wapendwa nitaenda kuzungumzia mapishi ya mchuzi wa kuku (chicken curry).

Mahitaji

... Read More
Mapishi ya Half cake (Keki)

Mapishi ya Half cake (Keki)

Mahitaji

Unga wa ngano (self risen flour) kikombe 1na 1/2
Sukari (sugar) 1/4 kikombe... Read More

Jinsi ya kutengeneza Labania Za Maziwa

Jinsi ya kutengeneza Labania Za Maziwa

MAHITAJI

Maziwa ya unga - 2 vikombe

Sukari - 3 vikombe

Maji - 3 vikombe

Read More
Mapishi ya choroko

Mapishi ya choroko

Mahitaji

Choroko kikombe 1 na nusu
Nazi kopo 1
Kitunguu kikubwa 1
Nyanya 1... Read More

Jinsi ya kupika Slesi Za Chokoleti Na Karameli

Jinsi ya kupika Slesi Za Chokoleti Na Karameli

Viamba upishi

Unga 1 Magi (vikombe vya chai)

Sukari ya browni ½ Magi

Siagi i... Read More

Mapishi ya Biriani Nyepesi Kupika Ya Samaki

Mapishi ya Biriani Nyepesi Kupika Ya Samaki

Vipimo

Mchele wa pishori (basmati) - 4

Vitunguu katakata - 3

Nyanya (tungule)... Read More

Jinsi ya kupika Mkate wa sinia

Jinsi ya kupika Mkate wa sinia

Mahitaji

Unga wa mchele (rice flour 2 vikombe vya chai)
Sukari (sugar 3/4 ya kikombe... Read More

Mapishi ya Pilau ya nyama ya ng'ombe na kachumbari

Mapishi ya Pilau ya nyama ya ng'ombe na kachumbari

Mahitaji

Mchele (rice vikombe 3)
Nyama ya ng'ombe (beef 1/2 kilo)
Viazi mbatata... Read More

Mapishi ya Supu Ya Maboga

Mapishi ya Supu Ya Maboga

Viamba upishi

Blue band vijiko vikubwa 2
Maziwa vikombe 2
Royco kijiko kikubwa ... Read More

Jinsi ya kupika Biriani ya Nyama Ng'ombe Na Mtindi

Jinsi ya kupika Biriani ya Nyama Ng'ombe Na Mtindi

Mahitaji

Mchele wa biriani - 5 gilasi

Nyama ya ngombe ya mifupa - 1 ½ kilo na nusu... Read More

Jinsi ya kutengeneza Wali Wa Dengu Kwa Samaki Wa Kukaanga

Jinsi ya kutengeneza Wali Wa Dengu Kwa Samaki Wa Kukaanga

Mahitaji

Mchele wa basmati - 3 Vikombe

Dengu - 2 vikombe

Viazi - 3 vikubwaRead More

Mapishi ya Wali Wa Nazi Wa Adesi, Bamia Na Mchuzi Wa Kamba

Mapishi ya Wali Wa Nazi Wa Adesi, Bamia Na Mchuzi Wa Kamba

Mahitaji

Mchele - 2 vikombe

Adesi -1 ½ vikombe

Nazi ya unga - 1 Kikombe

<... Read More