Jinsi ya kupika Vileja Vya Tambi
Date: April 18, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Viambaupishi
Tambi (vermiceli Roasted) Mifuko 2
Siagi 4 Vijiko vya supu
Maziwa (condensed) 300Ml
Lozi zilizokatwakatwa 1 kikombe
Zabibu kavu 1 Kikombe
Arki (essence) 1 Kijiko cha supu
Jinsi ya kuandaa na kupika
1) Weka karai kwenye moto kiasi
2) Tia siagi
3) Tia tambi uzikaange usiachie mkoni mpaka ziwe rangu ya dhahabu.
4) Weka lozi na zabibu huku unakoroga
5) Tia maziwa na huku unakoroga usiachie mkono.
6) Tia arki
7) Epua karai, tumia kijiko cha chai kwa kuchotea na utie kwenye kikombe cha kahawa nusu usikijaze.
8) Kipindue kwenye sahani utoe kileja.
9) Fanya hivyo mpaka umalize vyote.
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Related Posts
Mahitaji
Mayai yaliochemshwa 4
Nyama ya kusaga robo kilo
Kitunguu swaum
Ta...
Read More
Mahitaji
Unga wa ngano (plain flour 1/2 of kilo)
Siagi (butter vijiko 2 vya chakula)...
Read More
Viambaupishi Vya Masala
Nyama vipande - 3 LB
Mtindi - Β½ kopo
Kitunguu (thomu...
Read More
Mahitaji
Unga wa ngano (self risen flour 2 vikombe vya chai)
Sukari (sugar 1/2 kijik...
Read More
Vipimo Vya Koshari
Mchele - 2 vikombe
Makaroni - 1 kikombe
Dengu za brown - 1...
Read More
MAHITAJI
Tambi (vermiceli Roasted) Mifuko 2
Siagi - 4 Vijiko vya supu
Maziwa ...
Read More
Mahitaji
Viazi ulaya (baking potato 5 vya wastani)
Parprika 1 kijiko cha chai
P...
Read More
Viamba upishi
Unga ngano vikombc 3
Unga mbegu za mchicha kikombe 1
Baking powde...
Read More
Kidali cha kuku 1 kikubwa
Swaum,tangawizi 1 kijiko cha chai
Limao 1/2
Pilipili ya ...
Read More
Mahitaji
Unga - 4 Vikombe
Sukari -10 Ounce
Siagi - 10 Ounce
Mdalasini y...
Read More
Mahitaji
Choroko kikombe 1 na nusu
Nazi kopo 1
Kitunguu kikubwa 1
Nyanya 1...
Read More
Njia za kupima Afya
Njia mbalimbali hutumika kupima hali ya lishe, njia hizi ni;
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!