Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Amri ya nne ya Mungu: Kuheshimu Wazazi

Featured Image

Katika Amri ya nne ya Mungu tumeamriwa nini?





Tumeamriwa tuwaheshimu wazazi wetu na wakubwa wetu wote, tuwapende, tuwatii na tuwaombee. (Kut 20:12, Kol 3:20)










Amri ya Nne ya Mungu tumeamriwa nini?





Tumeamriwa tuwaheshimu wazazi wetu na wakubwa wote, tuwapende, tuwatii na tuwaombee. (Kut 20:12), Kol 3:20










Kwa sababu gani yatupasa kuwaheshimu Baba na Mama?





Yatupasa kuwaheshimu Baba na Mama kwa sababu;





1. Wameshirikiana na Mungu kutuleta duniani walipotuzaa
2. Wamewekwa na Mungu ili watulee na kutuongoza Mbinguni
3. Mungu ameamuru tuwapende wazazi mara baada ya Yeye. (Ayu 3:1-9)










Wazazi na wakubwa wameamriwa nini?





Wazazi na wakubwa wameamriwa watutunze na kutulea










Tuwaheshimu Baba na Mama kwa matendo gani?





Tuwaheshimu Baba na Mama kwa matendo ya adabu, heshima, utii na mapendo (Ayu 3:12)










Twawakosea Heshima Baba na Mama kwa kufanya nini?





Twawakosea Heshima Baba na Mama kwa;





1. Tukiwakasirisha na kuwatukana
2. Tukiwakaidi na kuwapiga
3. Tukiacha kuwaombea
4. Tukiacha kuwasaidia katika shida na uzee. (Kut 21:15-17)










Wazazi wawaleeje watoto wao katika imani ya Kikristo?





Wawalee hasa kwa mfano wao, kwa sala, kwa katekesi ya kifamilia na kushiriki maisha ya Kanisa










Lini tunakatazwa kuwatii watu?





Tunakatazwa kuwatii watu wanaotuamuru jambo lililokatazwa na Mungu (Mdo 5:29)










Katika Amri ya Nne ya Mungu tumekatazwa nini?





Tumekatazwa haya;





1. Kukaidi wazazi na wakubwa wetu
2. Kuwakasirisha.
3. Kuwadharau.










Wakubwa tunaopaswa kuwaheshimu ni kina nani?





Wakubwa hao ni;





1. Viongozi wa Kanisa
2. Viongozi wa Serikali
3. Walimu na walezi
4. Wakubwa wa kazi (War 13:1)
5. Viongozi wa Jumuiya


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Peter Mugendi (Guest) on July 9, 2024

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Christopher Oloo (Guest) on June 20, 2024

Mwamini katika mpango wake.

Isaac Kiptoo (Guest) on May 11, 2024

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Lydia Mahiga (Guest) on April 24, 2024

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Rose Lowassa (Guest) on January 16, 2024

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Simon Kiprono (Guest) on December 20, 2023

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Mary Mrope (Guest) on September 3, 2023

Dumu katika Bwana.

Ruth Kibona (Guest) on July 26, 2023

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Sarah Mbise (Guest) on May 29, 2023

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Andrew Odhiambo (Guest) on May 17, 2023

Neema ya Mungu inatosha kwako

Elizabeth Mrope (Guest) on April 25, 2023

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Edward Chepkoech (Guest) on March 17, 2023

Baraka kwako na familia yako.

Victor Malima (Guest) on February 6, 2023

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Victor Mwalimu (Guest) on June 10, 2022

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Tabitha Okumu (Guest) on January 22, 2022

Imani inaweza kusogeza milima

Agnes Sumaye (Guest) on December 6, 2021

Rehema hushinda hukumu

Betty Akinyi (Guest) on November 3, 2021

Sifa kwa Bwana!

Moses Kipkemboi (Guest) on October 21, 2021

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Peter Otieno (Guest) on November 16, 2020

Rehema zake hudumu milele

Francis Mtangi (Guest) on November 4, 2020

Mungu akubariki!

Joseph Njoroge (Guest) on September 14, 2020

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Josephine Nduta (Guest) on September 2, 2020

Mwamini Bwana; anajua njia

Paul Kamau (Guest) on August 4, 2020

Nguvu hutoka kwa Bwana

Jane Muthui (Guest) on June 4, 2020

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Joseph Njoroge (Guest) on March 7, 2020

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Joyce Mussa (Guest) on September 9, 2019

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Joseph Kiwanga (Guest) on July 26, 2019

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Frank Sokoine (Guest) on May 30, 2019

Neema na amani iwe nawe.

Frank Sokoine (Guest) on March 14, 2019

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

George Mallya (Guest) on August 21, 2018

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Edith Cherotich (Guest) on July 24, 2018

Endelea kuwa na imani!

Lucy Kimotho (Guest) on July 23, 2018

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Samson Mahiga (Guest) on May 31, 2018

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Grace Mligo (Guest) on May 10, 2018

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Andrew Mchome (Guest) on April 21, 2018

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Samuel Omondi (Guest) on December 12, 2017

Katika imani, yote yanawezekana

Andrew Mahiga (Guest) on April 30, 2017

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Peter Otieno (Guest) on April 26, 2017

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Nora Kidata (Guest) on February 26, 2017

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Sarah Achieng (Guest) on February 20, 2017

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Vincent Mwangangi (Guest) on February 18, 2017

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Alice Mrema (Guest) on January 17, 2017

Nakuombea πŸ™

James Kimani (Guest) on May 18, 2016

Mungu ni mwema, wakati wote!

George Mallya (Guest) on April 6, 2016

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Martin Otieno (Guest) on February 7, 2016

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

David Sokoine (Guest) on January 22, 2016

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Joyce Nkya (Guest) on January 19, 2016

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Bernard Oduor (Guest) on November 21, 2015

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Stephen Malecela (Guest) on August 18, 2015

Tumaini ni nanga ya roho

Christopher Oloo (Guest) on April 7, 2015

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Related Posts

Amri ya Pili ya Mungu: Tunakatazwa kuapa bure au uongo kwa Jina la Mungu

Amri ya Pili ya Mungu: Tunakatazwa kuapa bure au uongo kwa Jina la Mungu

Katika amri ya pili ya Mungu tumekatazwa nini?<... Read More

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha kuwa tunaweza kuwaombea wafu ili wapate neema na amani ya Mungu?

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha kuwa tunaweza kuwaombea wafu ili wapate neema na amani ya Mungu?

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha kuwa tunaweza kuwaombea wafu ili wapate neema na ama... Read More

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu maisha ya sala?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu maisha ya sala?

Kanisa Katoliki linathamini sana maombi kama sehemu muhimu ya maisha yetu ya kiroho. Imani yetu i... Read More

Je, Kanisa Katoliki linatetea na kufundisha maadili ya kijinsia na thamani ya ndoa kati ya mwanaume na mwanamke?

Je, Kanisa Katoliki linatetea na kufundisha maadili ya kijinsia na thamani ya ndoa kati ya mwanaume na mwanamke?

Katoliki ni dini inayoheshimu na kufundisha thamani ya maisha ya binadamu. Kanisa Katoliki linafu... Read More

Mambo ya Muhimu kufahamu kuhusu Mungu

Mambo ya Muhimu kufahamu kuhusu Mungu

Read More

Amri ya Tano ya Mungu: Kutunza uhai wetu na wa watu wengine

Amri ya Tano ya Mungu: Kutunza uhai wetu na wa watu wengine

Katika Amri ya Tano ya Mungu tumeamriwa nini?Read More

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha umuhimu wa kuheshimu uhuru wa dini na kukuza uelewa na amani kati ya dini mbalimbali?

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha umuhimu wa kuheshimu uhuru wa dini na kukuza uelewa na amani kati ya dini mbalimbali?

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha umuhimu wa kuheshimu uhuru wa dini na kukuza uelewa ... Read More

Mambo ya Msingi kufahamu kuhusu Ndoa ya Kikatoliki

Mambo ya Msingi kufahamu kuhusu Ndoa ya Kikatoliki

Read More
Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu msamaha na rehema?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu msamaha na rehema?

Leo tutajadili kuhusu imani ya Kanisa Katoliki kuhusu msamaha na rehema. Kwa Wakatoliki, msamaha ... Read More

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu Maandiko Matakatifu?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu Maandiko Matakatifu?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu Maandiko Matakatifu?

Kanisa Katoliki linaamini kwa... Read More

Maswali na Majibu kuhusu Marehemu

Maswali na Majibu kuhusu Marehemu

Read More

Amri ya Kwanza ya Mungu: Mambo Muhimu ya Kuzingatia

Amri ya Kwanza ya Mungu: Mambo Muhimu ya Kuzingatia

Katika amri ya kwanza ya Mungu tumeamriwa nini?... Read More