Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Uzinzi na Uasherati ndio mtego wa kizazi hiki

Featured Image

Uzinzi na uasherati wakati huu umekuwa ndio sumaku kuu ya kuwanasa watu ili waende jehanamu.

Sumaki hii imewanasa hata ambao hawakutegemewa wala kutarajiwa.

Uzinzi uzinzi uzinzi umekuwa kama perfume ya kujipulizia kila Mara mtu akipenda.

Uasherati umekuwa kama heshima ya kibinadamu kwa vijana wengi.

Mbingu zimenyamaza kwa sababu iko jehanamu inawangoja wazinzi na waasherati.

Dhambi hii imekuwa sumaku kubwa ya shetani ya kukamata wanadamu ili waende jehanamu.

Wanadamu wa Leo ukimwambia kwamba aache uzinifu maana wazinzi na waasherati hawataenda uzima wa milele, mtu huyo anakuambia unamhukumu.

Ni Neno la MUNGU ndile limesema katika maandiko mengi tu kwamba wazinzi na waasherati sehemu yako itakuwa katika ziwa la moto.

Hata makanisani baadhi ya watu wamenasa kwenye sumaku hii.

Dada mmoja ambaye kila wiki anasimama na kushika mic kanisani kwao siku moja aliniambia kwamba hawezi kumaliza wiki bila kufanya ngono, na hajaolewa. Niliumia sana rohoni nikamwambia aache kutumika madhabahuni, yeye akasema itakuaje maana yeye ndiye tegemeo.

Mama mmoja alisema yeye ana mume mema sana na mume wake ni mwaminifu sana katika ndoa yao lakini yeye huyo mama ndio hutoka nje ya ndoa Mara kwa Mara, ni hatari inayohitaji neema ya MUNGU tu ili kutubu na kuacha.

Mama mmoja yeye ana watoto zaidi ya wawili na yuko katika ndoa lakini hana uhakika kama watoto wale ni wa mume wake wa ndoa, ni hatari sana.

Baba mmoja akiwa ndani ya ndoa amezaa watoto zaidi ya watatu nje ya ndoa tena wanawake zaidi ya wanne(4) tofauti tofauti.

Mwanaume moja ambaye husimama madhabahuni yeye kila Mara humdanganya mkewe kwamba anaenda safari kumbe ana mahawara karibia kila mkoa, ni hatari sana.

Watu wengi sasa wanaona uzinzi na uasherati ndio fashion nzuri ya wakati kuu.

Kila kijana ana girlfriend kwa lengo la ngono tu na sio vinginevyo.

Kila binti ana boyfriend kwa ajili ya uasherati.

Ukitaka watu wakuchukie basi kemea uzinzi na uasherati.

Watu wengi wamekuwa vipofu wa kiroho kwa sababu ya uzinzi na uasherati.

Lakini upo mwisho mmoja kwa watenda dhambi wote ambayo ni jehanamu.

Ndugu unahitaji kutubu Leo na kuacha dhambi.

Ndugu mmoja akasema yeye anaishi maisha matakatifu ila dhambi moja tu yaani uzinifu ndio imemshinda, hiyo ni hatari.

Leo hata ndoa takatifu zimeadimika maana wahusika huanza kwanza uzinzi na uasherati ndio baadae ndoa, ndugu mnahitaji kutubu.

Ndugu yangu unayenisikiliza kwa njia ya ujumbe huu nakuomba tubu na acha dhambi hiyo.

Amua kuiacha.

Mwisho wa uzinzi na uasherati ni kifo(Mauti) na baada ya kifo ni hukumu(Waebrania 10:27)

Nimekuonya wewe Leo ili ukishupasa shingo usije ukalaumu siku ile ukiwa katikati ya bahari ya moto huku kifo kimezuiliwa ili uteseke milele.

Mimi naamini utatengeneza ndugu baada ya kuusoma ujumbe huu.

Mimi naamini utaachana na mahawara na kuanza kuiheshimu ndoa yako.

Mimi naamini hutamsaliti tena mkeo/Mumeo.

Mimi naamini utaachana na huyo girlfriend/Boyfriend, wengine wanao zaidi ya mmoja, nakuomba ndugu achana nao.

Kijana au binti kaa tulia hadi wakati wako wa ndoa.

Uliyenisikia na utatubu na kuacha dhambi hiyo, MUNGU akubariki sana.```

ALIYE NA AKILI AWEKE MOYONI MANENO HAYA. AMINA

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

James Mduma (Guest) on June 9, 2024

Mungu akubariki!

Francis Mrope (Guest) on March 17, 2024

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Alice Wanjiru (Guest) on December 30, 2023

Tumaini ni nanga ya roho

Patrick Kidata (Guest) on August 31, 2023

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Samson Mahiga (Guest) on August 21, 2023

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Francis Njeru (Guest) on July 7, 2023

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Mary Njeri (Guest) on May 17, 2023

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Stephen Mushi (Guest) on April 17, 2023

Imani inaweza kusogeza milima

Henry Sokoine (Guest) on March 20, 2023

Mwamini Bwana; anajua njia

Mary Mrope (Guest) on January 4, 2023

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Lucy Kimotho (Guest) on December 31, 2022

Neema ya Mungu inatosha kwako

Joyce Nkya (Guest) on July 22, 2022

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Mariam Kawawa (Guest) on May 31, 2022

Nguvu hutoka kwa Bwana

Robert Ndunguru (Guest) on March 14, 2022

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Charles Wafula (Guest) on January 28, 2022

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Joyce Nkya (Guest) on December 17, 2021

Sifa kwa Bwana!

Rose Lowassa (Guest) on October 14, 2021

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Samson Mahiga (Guest) on October 14, 2021

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Irene Akoth (Guest) on October 11, 2021

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

David Sokoine (Guest) on May 28, 2020

Nakuombea πŸ™

Carol Nyakio (Guest) on November 27, 2019

Dumu katika Bwana.

Moses Kipkemboi (Guest) on November 12, 2019

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Anna Malela (Guest) on September 4, 2019

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Josephine Nekesa (Guest) on April 13, 2019

Mungu ni mwema, wakati wote!

Agnes Sumaye (Guest) on February 8, 2019

Endelea kuwa na imani!

Paul Kamau (Guest) on January 6, 2019

Neema na amani iwe nawe.

Charles Wafula (Guest) on January 1, 2019

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Richard Mulwa (Guest) on December 15, 2018

Rehema zake hudumu milele

Irene Akoth (Guest) on November 26, 2018

Mwamini katika mpango wake.

Jane Malecela (Guest) on June 10, 2018

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Jane Muthoni (Guest) on June 5, 2018

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Joseph Kiwanga (Guest) on January 31, 2018

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Ruth Wanjiku (Guest) on July 8, 2017

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Grace Wairimu (Guest) on July 3, 2017

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Peter Tibaijuka (Guest) on June 28, 2017

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Joseph Kiwanga (Guest) on March 29, 2017

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Carol Nyakio (Guest) on February 28, 2017

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Ruth Kibona (Guest) on December 22, 2016

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Benjamin Masanja (Guest) on December 13, 2016

Rehema hushinda hukumu

John Mushi (Guest) on November 2, 2016

Baraka kwako na familia yako.

Mercy Atieno (Guest) on October 10, 2016

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Richard Mulwa (Guest) on September 18, 2016

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Edward Chepkoech (Guest) on September 6, 2016

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Martin Otieno (Guest) on July 18, 2016

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

John Kamande (Guest) on February 3, 2016

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Francis Mtangi (Guest) on February 1, 2016

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Agnes Sumaye (Guest) on December 27, 2015

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

John Lissu (Guest) on September 30, 2015

Katika imani, yote yanawezekana

Moses Kipkemboi (Guest) on August 31, 2015

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Lucy Kimotho (Guest) on June 20, 2015

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Related Posts

Je, Kanisa Katoliki linakiri na kufundisha amri kumi za Mungu kama mwongozo wa maisha ya Kikristo?

Je, Kanisa Katoliki linakiri na kufundisha amri kumi za Mungu kama mwongozo wa maisha ya Kikristo?

Je, Kanisa Katoliki linakiri na kufundisha amri kumi za Mungu kama mwongozo wa maisha ya Kikristo... Read More

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu matakwa ya Mungu na mapenzi ya binadamu?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu matakwa ya Mungu na mapenzi ya binadamu?

Kanisa Katoliki linatambua kuwa Mungu aliumba ulimwengu na binadamu kwa mapenzi yake, lakini pia ... Read More

Tarehe ya Pasaka inavyopatikana

Tarehe ya Pasaka inavyopatikana

KWANINI TAREHE ZA PASAKA HUBADILIKA KILA MWAKA ??

JIBU:
KALENDA za mwanzo ziliutumia m... Read More

Je, Kanisa Katoliki linamwamini shetani kama mkuu wa uovu?

Je, Kanisa Katoliki linamwamini shetani kama mkuu wa uovu?

Je, Kanisa Katoliki linamwamini shetani kama mkuu wa uovu? Jibu ni Ndio,Β  Swali hili limekuwa likiz... Read More
MATATIZO YANAYORUDISHA UIMBAJI WA KWAYA KATOLIKI NYUMA

MATATIZO YANAYORUDISHA UIMBAJI WA KWAYA KATOLIKI NYUMA

Read More
Ufalme wa simu wa sasa

Ufalme wa simu wa sasa

➑ Asubuhi saa 12 : 00 mtu anaamka, kabla hata HAJAMUSHUKURU MUNGU, kabla hata hajatoka kitandan... Read More

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha umuhimu wa haki na kulinda haki za binadamu?

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha umuhimu wa haki na kulinda haki za binadamu?

Kanisa Katoliki ni moja kati ya makanisa makubwa duniani ambayo yamejikita katika kufundisha na k... Read More

Ufanyialo wengine ndilo utakalofanyiwa

Ufanyialo wengine ndilo utakalofanyiwa

Siku niliposoma hili andiko kwa mara ya kwanza nakumbuka, kwanza nilipata mshtuko flani baada ya ... Read More

Huruma ya Mungu: Nguvu ya Ukombozi na Utakaso

Huruma ya Mungu: Nguvu ya Ukombozi na Utakaso

Huruma ya Mungu: Nguvu ya Ukombozi na Utakaso

  1. Kama Wakatoliki, tunaamini sana ka... Read More

Ibada ya Huruma ya Mungu: Kuishi kwa Upendo na Ukarimu

Ibada ya Huruma ya Mungu: Kuishi kwa Upendo na Ukarimu

Ibada ya Huruma ya Mungu: Kuishi kwa Upendo na Ukarimu

Karibu kwa maelezo ya Ibada ya Huru... Read More

Kujiweka chini ya Huruma ya Mungu: Kuponywa na Kupatanishwa

Kujiweka chini ya Huruma ya Mungu: Kuponywa na Kupatanishwa

Kujiweka chini ya Huruma ya Mungu: Kuponywa na Kupatanishwa

Kila mmoja wetu amewahi kufany... Read More

Njia Kuu 3 za Kuiishi Huruma ya Mungu

Njia Kuu 3 za Kuiishi Huruma ya Mungu

Read More