Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMS💌💕
AckyShine

Mafundisho na mapokeo Katika Kanisa Katoliki yanapopatikana kwenye Biblia

Featured Image
50 Comments

Kuomba Msamaha katika Huruma ya Mungu: Njia ya Uongofu

Featured Image
Kuomba msamaha ni njia ya kujiweka karibu na Mungu. Ni safari ya uongofu ambayo inalipa kwa baraka za huruma ya Mungu.
50 Comments

JE IMANI AU MAPOKEO YA KANISA KATOLIKI YANAPATIKANA KATIKA BIBLIA?

Featured Image
50 Comments

MATATIZO YANAYORUDISHA UIMBAJI WA KWAYA KATOLIKI NYUMA

Featured Image
50 Comments

Faida ya kuabudu Ekaristi Takatifu

Featured Image
50 Comments

Maana ya Zaka, Sababu za Kutoa Zaka na Faida zake kulingana na Mafundisho ya Kikatoliki, Katekisimu, na Biblia

Featured Image
52 Comments

Ufalme wa simu wa sasa

Featured Image

➡ Asubuhi saa 12 : 00 mtu anaamka, kabla hata HAJAMUSHUKURU MUNGU, kabla hata hajatoka kitandani, kabla hata hajajifunua shuka,

👉ATARIPOTI KWA SIMU KWANZA KABLA YA KURIPOTI KWA YEYOTE, NDIO HAPO UNAONA MTU AKIAMKA KABLA HATA HAJASALI KWA MUNGU ANAAMKIA SIMU KWANZA KUIKAGUA,
- Nani alinitafuta?
-Nani alini-text?
-WhatsApp nani kanitumia msg?
- kwenye magroup kuna mpya gani?
- Fb kuna post gani kali?
- nani kaweka picha kali leo?

50 Comments

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu matakwa ya Mungu na mapenzi ya binadamu?

Featured Image
Kanisa Katoliki linajiunga na mtandao wa mawazo kwa kujibu swali "Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu matakwa ya Mungu na mapenzi ya binadamu?" Leo hii, tunajifunza kwamba Kanisa linapiga vita kwa ajili ya maslahi mazuri ya binadamu, kwa sababu Mungu anataka wote kuishi kwa furaha na amani.
50 Comments

Uelewa wa namba katika Biblia

Featured Image

Biblia imeandikwa na Mungu kupitia waandishi wanadamu kwa uvuvio wa Roho Mtakatifu. Hivyo Biblia ni Neno la Mungu. Hivyo mwandishi wa Biblia ni Mungu kupitia wanadamu (God is the primary author of the Bible while human authors are secondary authors). Mungu aliwavuvia (inspiration by the Holy Spirit) waandishi wanadamu ili waweze kuandika kile tu ambacho Yeye (Mungu) alitaka kiandikwe kwa ajili ya wokovu wa wanadamu.

50 Comments

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu toba na wongofu?

Featured Image
Habari! Naomba nizungumzie imani ya Kanisa Katoliki kuhusu toba na wongofu. Kwa Wakatoliki, toba ni hatua muhimu ya kuanza safari ya wongofu. Ni wakati wa kugeuka kutoka dhambi na kurudi kwa Mungu. Kwa furaha tunakaribisha wote kufanya toba na kuanza upya na imani yetu katika Yesu Kristo. Asante!
50 Comments