Updated at: 2024-05-25 15:24:09 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Mapenzi ni upepo,mimi sivumi na kupotea,mapenzi ni mahaba sili nikamaliza,nikimaliza nitakula nini kesho?nakuahidi kukupenda leo hata kesho ukiwepo na hata usipokuwepo.
Updated at: 2024-05-25 15:22:47 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Wewe ni taa kwangu imulikayo gizani, nakupenda sana mpenzi wangu wa moyo, utakuwa wangu siku dear! Kosa nililofanya ni kwa bahati mbaya, naomba unisamehe na ninaahidi kutorudia tena katika penzi letu!
SMS nzuri ya kumtumia mpenzi wako aliyekuacha kumuomba akurudie
Updated at: 2024-05-25 15:22:20 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
ni bora mnara ukitikisika kuliko kupata pengo lisilozibika moyoni umeniachia jeraha lisilotibika na ufa usiozibika.rudi mpenzi unautesa mtima wa moyo wangu.
Updated at: 2024-05-25 15:36:19 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Pokea sms yangu iliyojaa utamu, nimeipamba kwa maneno laini yenye ladha adimu, utamu wake ni kama apple haufanani na ndimu, nimeituma kwako sms hii ikuletee salamu "UHALI GANI MPENZI?"