Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Featured Image
Hata kama ni Mgeni this is too much. Mwenyeji: Karibu mgeni karibu ukae,utapenda chai au soda? Mgeni: Nipe nianze na soda wakati chai inachemka. Mwenyeji: Utakunywa fanta au sprite? Mgeni: Nipe fanta wakati sprite inapoa.
236 Comments

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

Featured Image
236 Comments

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Featured Image
236 Comments

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Featured Image
Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfriend wake akija, yule mvulana alipokaribia tu, yule msichana akamwambai: MSICHANA: Umekuja kuchukua kile kitabu chako, kinachoitwa "DADDY IS AT HOME?" by Ngozi Okafor
236 Comments

Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

Featured Image
236 Comments

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Featured Image
236 Comments

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Featured Image

Bwana mmoja wakati anakata roho alimwambia mkewe hivi:

MUME - mke wangu natubu mbele yako kwamba nimezini na mama yako, dada yako, shangazi yako, mama yako mdogo na mtoto wa shangazi yako.

Β 

236 Comments

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

Featured Image
236 Comments

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Featured Image

Ticha katangaza test , Akatoa Masharti; Ukiandika jibu hamna kufuta au kukata.

Swali la kwanza,
Taja vyakula vi3 ambavyo ukienda hotelini umelipiwa utapenda kula (marks 1)

WAVULANA wakajaza; wali, ugali, mihogo.
WADADA wakajaza; burger, pizza, egg chop. Swali la

Β 

236 Comments

Angalia huyu msichana alichonifanyia

Featured Image
239 Comments