Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena
Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu toka hapa! Je rafiki
yako akijua? tena koma!
JAMAA: Ntakupa milioni 1!
MKE: Basi njoo kesho mchana
mume wangu akiwa kazini!
Updated at: 2023-04-29 22:53:16 (2 years ago by Melkisedeck Leon Shine)
Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake: JAMAA: Shem nakupenda! MKE: Hebu toka hapa! Je rafiki yako akijua? tena koma! JAMAA: Ntakupa milioni 1! MKE: Basi njoo kesho mchana mume wangu akiwa kazini!
Kesho yake Jamaa kaja na milioni 1 wakamalizana na mke wa rafki yake, jioni ilipofika Mume akarudi home na kumuuliza Mkewe, "Rafki yangu SAM kaleta hela yangu milioni 1?" MKE akajibu kwa unyonge, "Ndio!" MUME: Yes! Ndio maana nampenda SAM kanikopa asubuhi jioni karejesha!!!! Mke hoiβ¦β¦
Updated at: 2024-05-25 18:12:12 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Baba mmoja Juzi alimpaka Sumu Mke wake kwenye Matiti akiwa amelala ili Mtoto akinyonya afe kwani alihisi sio wa kwake, akaondoka kwenda kazini aliporudi akakuta house boy amekufa, usiniulize alikufaje. Mie mambo ya umbea sipendi niliondoka zangu mapemaaa!!π π π π
Updated at: 2024-05-25 17:54:01 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Usije ukaenda kwa mganga, mwenzako yamenikuta, yani masharti niliyopewa, acha tu, yalikua hivi:-
1.Jasho la nyoka. 2.Manyoya ya mende. 3.Sisimizi Shoga. 4.Mbwa mjane. 5.Kuku aliye single. 6.Samaki mwenye miaka miwili bila kuoga 7.Mti wenye ujauzito. 8.Mbavu za Nzi. 9.Nywele za Kiroboto. 10.Mwanya wa Mbu. Duuh..!! mwanangu kwa hali hii mbona itakula kwako. Wengine wanasemaga IGA UFE! Rizik anagawa Mungu tu shetan simuelew!
Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE
MASSAWE alienda na marafiki zake bar kunywa, baada ya kumaliza kutumia akaletewa bili kama ifuatavyo:
Manka 35,000
Marieta 20,000
Kekuu 30,000
Kitime 15,000
Updated at: 2023-04-29 22:52:15 (2 years ago by Melkisedeck Leon Shine)
MASSAWE alienda na marafiki zake bar kunywa, baada ya kumaliza kutumia akaletewa bili kama ifuatavyo: Manka 35,000 Marieta 20,000 Kekuu 30,000
Kitime 15,000 Kinabo 10,000 TOTAL 110,000/= MASSAWE akaicheki akasema "Wote nitawalipia lakini huyo "TOTAL" Yesuu simlipii. Kwansa anamiliki sheli kibao sa mafuta hapa bongo. Shensi taip ! Na amekunywa nyingi kuliko wote alipe mwenyeweβ¦
Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!
Updated at: 2024-05-25 17:59:35 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Angalia hivi
-Mlinzi wa Getini lazima awe chizi -Mtu yupo kijijini, maisha magumu ana Wave kichwani. -Kama bosi atakuwa na kampuni basi ni lazima itakuwa ya Clearing and Forwading au ya uuzaji Magari. -Lazima waende Kununua nguo. -Jambazi lazima avae koti lefu jeusi na Miwani. -Mtu akichapwa kofi huangukia kwenye kochi ama kitandani. -Actress huwa hawapiki hata chai. -Kwa mdada akiishi maisha ya kitajiri lazima avae nguo inayoishia mapajani. -Actress even after 5 yeas utakuta staili ya nywele na rangi za kucha ni zile zile. -Anaweka Sumu alafu anaonja kama imekolea. -Movie zote wapenzi huitana Baby.. -Main actor wote ni wafanya biashara na lazima wataongelea mizigo kutoka bandarini. -Wakinywa Soda basi lazima wabakishe.