Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMS💌💕
AckyShine

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Featured Image
236 Comments

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Featured Image
236 Comments

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Featured Image
Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswali na Mbongo akishindwa anatoa sh.500 na endapo yeye atashindwa atatoa 100,000/=. Mzungu akauliza ni nchi ipi ilishindwa kwenye vita kuu ya kwanza ya Dunia? Mbongo akatoa 500 kuashiria hajui.
236 Comments

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Featured Image
Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "Naitwa John nimepiga simu kutangaza kuwa nimeokota wallet ndani ina laki 7, ATM Card na kikaratasi chenye PIN ya ATM Card na kijimkufu cha dhahabu kinene hivi…"
236 Comments

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Featured Image
236 Comments

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Featured Image

Alifanya hivi;
Siku ya kwanza

MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye?.
MKE: Salama tu
MUME: Uko wapi?
MKE: Jamani si niko nyumbani
MUME: Mhh kama kweli uko nyumbani washa blender nisikie…..mke­ akawasha blender
MKE: Umesikia?
MUME: Okay haya mi natoka kazini naja

 

236 Comments

Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Featured Image
236 Comments

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Featured Image

Msichana wa kazi alitaka mama mwenye nyumba ampandishie mshahara….. Mama mwenye nyumba akamwambia msichana ampe sababu tatu za kutaka kupandishiwa mshahara.

Msichana: Napika vizuri kuliko wewe.

Mama: Nani kakuambia?

236 Comments

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Featured Image
Jamaa alikuwa anagombana na mkewe,hatimae akamwambia kwa ukali "Unajua nimechoka sasa, haya kusanya nguo zako na……..
236 Comments

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Featured Image
Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae. MWAL: John we unataka ukiwa mkubwa uwe nani? JOHN: Nataka niwe daktari wa moyo niwasaidie watanzania wanaougua magonjwa ya moyo. MWAL: vizuri. Na wewe Rose unataka kuwa nani?
236 Comments