Upendo na Matamanio ya Mungu kwa Wanadamu
Updated at: 2024-05-27 07:12:05 (1 year ago by DIN - Melkisedeck Leon Shine)
Kama vile Baba anavyotamani mwanae akue katika maadili na aelekee katika njia nyoofu. Ndivyo na Mungu anavyotamani uachane na dhambi na kumfuata yeye.
Sala ni chimbuko la Fadhila
Updated at: 2024-05-27 07:11:59 (1 year ago by DIN - Melkisedeck Leon Shine)
Sala ndiyo chimbuko la fadhila. Kwa njia ya sala tunapata fadhila za Kimungu na Neema za Mungu. Asaliye daima hujazwa neema na fadhila.