Enyi Yesu na Maria na Yosefu,
nawatolea Moyo, na roho, na uzima wangu.
Enyi Yesu na Maria na Yosefu,
mnipokee saa ya kufa kwangu.
Enyi Yesu na Maria na Yosefu,
mnijalie nife mikoni mwenu.
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
Endelea kuwa na imani!
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
🙏❤️💖 Baraka za Mungu ziwe nawe