Kwa njia ya Maji haya ya Baraka,
na kwa njia ya Damu yako azizi,
na kwa maombezi ya Moyo Safi wa Maria,
unioshe na uovu wangu wote na uwasaidie roho zinazoteseka toharani. Amina.
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Kwa njia ya Maji haya ya Baraka,
na kwa njia ya Damu yako azizi,
na kwa maombezi ya Moyo Safi wa Maria,
unioshe na uovu wangu wote na uwasaidie roho zinazoteseka toharani. Amina.
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
Endelea kuwa na imani!
🙏💖 Mungu wetu asifiwe
🙏🌟❤️ Nakuombea heri
Nakuombea 🙏