Ee Yesu mwenye huruma, mpenda roho za watu, nakuomba kwa ajili ya kuzimia kwa Moyo wako Mtakatifu, na kwa ajili ya Mama Yako asiye na doa, uwatakase kwa damu yako, watu wote wenye dhambi wanaokufa sasa, na watakaokufa leo.
Moyo wa Yesu uliozomia, uwahurumie watu wanaokufa X3.
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
๐โค๏ธโจ Mungu akujalie furaha
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
๐๐ Mungu alete amani
๐โค๏ธ๐ Baraka za Mungu ziwe nawe
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha