Nakusikitikia sana Mama Mtakatifu Maria kwa sababu ya ukiwa wako mkuu. Uchungu wako ulikuwa mkubwa sana ulipotazama mateso na kifo cha Mwana wako mpenzi. Muda ule uliweza kutuliz kidogo kwa sababu ya kumwona angali hai. Lakini je, baada ya kufa na kumzika? Sasa wewe ni mkiwa mkubwa mno! Uh, ukiwa wa pekee, uniombee mimi ninayempoteza mara nyingi kwa dhambi zangu. Unijalie nisimpoteze tena Yesu wangu kwa ubaya wa uvivu wangu, bali nimtumikie kiaminifu duniani hapa ili nimwone na kumfurahia milele mbinguni. Amina.
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
🙏❤️💖 Baraka za Mungu ziwe nawe
Dumu katika Bwana.
🙏💖 Nakushukuru Mungu
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako