Ee Yesu, kupitia mikono safi ya Bikira Maria, na kwa maungano na sadaka yako kuu, ninakutolea sala, matendo, kazi, masumbuko, na furaha zangu zote za siku hii ya leo, kwa ajili ya nia za Moyo wako Mtakatifu, Ee Yesu ufalme wako utufikie!
Baba Yetuโฆ.
Salamu Maria, โฆ..
Nasadiki โฆโฆ.
Amri za Mungu โฆโฆ
Amri za Kanisa โฆโฆ
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Nakuombea ๐
๐๐๐
๐โค๏ธ Mungu ni mwaminifu
Mungu ni mwema, wakati wote!
Imani inaweza kusogeza milima