Ee Yesu, kupitia mikono safi ya Bikira Maria, na kwa maungano na sadaka yako kuu, ninakutolea sala, matendo, kazi, masumbuko, na furaha zangu zote za siku hii ya leo, kwa ajili ya nia za Moyo wako Mtakatifu, Ee Yesu ufalme wako utufikie!
Baba Yetu….
Salamu Maria, …..
Nasadiki …….
Amri za Mungu ……
Amri za Kanisa ……
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Nakuombea 🙏
🙏🙏🙏
🙏❤️ Mungu ni mwaminifu
Mungu ni mwema, wakati wote!
Imani inaweza kusogeza milima