Kumheshimu Mungu wangu, Namtolea roho yangu, Nifanye kazi nipumzike, Amri zake tu nishike, Wazo neno tendo lote, Namtolea Mungu pote, Roho, mwili chote changu, pendo na uzima wangu, Mungu wangu nitampenda, Wala dhambi sitatenda, Jina lako nasifia, Utakalo hutimia, Kwa utii navumilia, Teso na matata pia, Nipe Bwana neema zako, Niongezee sifa yako, Amina.
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Neema ya Mungu inatosha kwako
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
Rehema zake hudumu milele
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe