KUMBUKA
Kumbuka ee Bikira mwenye rehema, haijasikika kamwe kwamba ulimwacha mtu aliyekimbilia ulinzi wako, akiomba msaada wako, akitaka umwombe.
Nami kwa matumaini hayo, nakukimbilia ee mama, mkuu wa mabikira, ninakuja kwako, ninasimama mbele yako,Β nikilalamika mimi mkosefu ewe mama wa neno la mungu, usiyakatae maneno yangu, mbali uyasikilize kwa wema na unitimizie Amina.
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
Mungu akubariki!
πβ€οΈπ Asante Mungu kwa uhai
πππ
πππ Mungu akufunike na upendo