Fikiria umenunua zawadi nzuri ya gharama sana na unataka kumpa mtu umpendaye sana. Akipokea zawadi yako unafurahi sana, akikataa kuipokea zawadi inaumiza sana, lakini inaumiza zaidi akiipokea kisha akaitupa mbele yako na kuona haina maana. Hiki ndicho kinachotokea kwa Yesu. Yesu yupo kwa ajili ya kutupa zawadi ya Wokovu alyogharamia kwa uhai wake. Tunapoipokea tunamfurahisha sana, tukiikataa tunamhuzunisha na tunapoipokea na kuiacha baadae tunamhuzunisha kwelikweli.
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Baraka kwako na familia yako.
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi