Vile unavyomsogelea Mungu ndivyo na yeye anavyokusogelea. Vile unavyomkubali Mungu katika Maisha yako ndivyo na yeye anavyotenda kazi kwako.
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Vile unavyomsogelea Mungu ndivyo na yeye anavyokusogelea. Vile unavyomkubali Mungu katika Maisha yako ndivyo na yeye anavyotenda kazi kwako.
Mwamini Bwana; anajua njia
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida