Usifadhaike moyoni pale unapokuwa katika matatizo au unapopitia changamoto katika maisha. Kumbuka kuwa Mungu yupo, anayaona hayo na anataka kukusaidia, ni wewe tuu kumpa nafasi ya kukusaidia. Hatumpi Mungu nafasi pale tunapozani tunaweza wenyewe.
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Nguvu hutoka kwa Bwana
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
Neema na amani iwe nawe.