Hakuna Maisha ya Kikristo bila Kusali. Kama kuna Mkristo anaishi bila kusali huyo siyo Mkristo bali Mkristo mfu. Sala ndiyo uhai wa Mkristo. Hakuna Njia nyingine yoyote ya kumfikia Mungu isipokua sala.
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Rehema hushinda hukumu
Neema na amani iwe nawe.
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini