Kukosa hata mara moja inahesabika ni kukosea mbele ya Mungu. Kwa kuwa kwa Mungu hakuna kusema, ‘Kukosea mara moja sio kosa bali kurudia kosa ndio kosa’. Mbele ya Mungu kila kosa lina uzito wake haijalishi ni kosa la mara ya kwanza.
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
Rehema zake hudumu milele
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia