Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Ushauri kuhusu mwanamke wa kufaa kuoa

Featured Image

Nawaandikia ninyi vijana wa kiume na wanaume wote, maana mna nguvu na mmejaliwa na mwenyezi Mungu utashi, hekima na busara. Yote hayo ni ili muweze kutawala kila kitu tokea kuumbwa kwa misingi ya ulimwengu huu. Wekeni wivu pembeni na Yafuateni haya;


1. Oa mwanamke ambae unaweza KUSALI nae na sio kwa sababu anajua KUFANYA MAPENZI vema.


2. Mwanaume bora KAMWE hapimwi kwa idadi ya wanawake alionao au aliotembea nao BALI kwa idadi ya wanawake aliowaambia "Mimi ni mume wa mtu" au ninae mtu tayari.


3. Kuna aina ya wanawake unatakiwa kuwaepuka kabisa kwa gharama yoyote ile, "wanawake wamaodhani uzuri wao ndio bora zaidi kuliko tabia zao"


4. Kila mwanamke anavutia akivaa nguo fupi inayoonesha maungo yake wazi, ila kama utakuta mwanamke amevaa nguo ndefu au za kusitiri mwili wake na bado anavutia, huyu ni dhahabu! Anathamini mali za mumewe!


5. Kamwe usimpe mwanamke mimba ya mtoto kabla hujampa mimba ya malengo na ukayatimiza.


6. Tafuta mwanamke ambae atakupa challenge ya maisha na kuongeza uwezo wako wa kufikiri na sio mwanamke wa kila kitu Ndio mzee!


7. Wanawake wakamilifu hawapatikani popote duniani, ila wanawake bora wapo kila mahali.


8. Mwanamke anaweza kukusaliti, ila Mungu hawezi kukusaliti, hivyo basi kabla hujapata mwanamke Mpate Mungu kwanza. Kuna raha sana kuwa ndani ya Mungu asikwambie mtu!


9. Kama unajijua umefikisha miaka 25 na kuendelea epuka mambo ya kivulana, kuvaa suruali katikati ya makalio, kuvaa hereni, kubadili badili wanawake kama unachambua mitumba ya karume etc


10. Usitumie kichwa chako kunyoa kiduku, tumia kichwa chako kuwaza mambo yenye tija ikiwemo kutafuta pesa na kuongeza hazina ya maarifa.
MBARIKIWE SANA WANAUME WOTE WENYE BUSARA..






Kama Mwanamme Download Kitabu cha SIRI ZA MWANAMKE ili uweze kuwafahamu zaidi wanawake




[products columns="2" ids="30827"]


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Njia za Kuimarisha Umoja wa Kifamilia na Kuweka Maadili ya Pamoja

Njia za Kuimarisha Umoja wa Kifamilia na Kuweka Maadili ya Pamoja

Umoja wa kifamilia ni kitu muhimu katika maisha ya kila mmoja wetu. Familia ndiyo kitovu cha mais... Read More

Kuhamasisha Ushirikiano wa Kifedha na Kuweka Malengo ya Pamoja katika Familia

Kuhamasisha Ushirikiano wa Kifedha na Kuweka Malengo ya Pamoja katika Familia

Kuhamasisha ushirikiano wa kifedha na kuweka malengo ya pamoja katika familia ni muhimu sana kati... Read More

Jinsi ya Kujenga Maisha yenye Furaha na Ufanisi katika Familia yako

Jinsi ya Kujenga Maisha yenye Furaha na Ufanisi katika Familia yako

Karibu kwenye makala hii kuhusu jinsi ya kujenga maisha yenye furaha na ufanisi katika familia ya... Read More

Jinsi ya Kuwasiliana na mpenzi wako kuhusu masuala ya historia na utamaduni wa jamii yenu

Jinsi ya Kuwasiliana na mpenzi wako kuhusu masuala ya historia na utamaduni wa jamii yenu

Siku zote ni muhimu kuwa na mawasiliano mazuri na mpenzi wako, na moja ya mambo muhimu ni kuwasil... Read More

Jinsi ya Kuongoza kwa Upendo: Njia ya Kulea Watoto wenye Mafanikio

Jinsi ya Kuongoza kwa Upendo: Njia ya Kulea Watoto wenye Mafanikio

Jinsi ya Kuongoza kwa Upendo: Njia ya Kulea Watoto wenye Mafanikio

Kulea watoto ni mzigo m... Read More

Ushawishi wa Dini katika Maadili ya Kufanya Mapenzi: Kupata Usawa kati ya Imani na Mahitaji ya Kibinadamu

Ushawishi wa Dini katika Maadili ya Kufanya Mapenzi: Kupata Usawa kati ya Imani na Mahitaji ya Kibinadamu

Ushawishi wa Dini katika Maadili ya Kufanya Mapenzi: Kupata Usawa kati ya Imani na Mahitaji ya Ki... Read More

Jinsi ya Kuwa na Mawasiliano Mazuri ya Simu na Msichana

Jinsi ya Kuwa na Mawasiliano Mazuri ya Simu na Msichana

Kama una nia ya kuimarisha uhusiano wako na msichana, ni muhimu kuwa na mawasiliano mazuri ya sim... Read More

Kuhamasisha Utatuzi wa Migogoro kwa Amani na Furaha katika Familia

Kuhamasisha Utatuzi wa Migogoro kwa Amani na Furaha katika Familia

Kuhamasisha Utatuzi wa Migogoro kwa Amani na Furaha katika Familia

Migogoro kwenye familia... Read More

Jinsi ya Kuwa na Mawazo Chanya katika Familia: Kujenga Mazingira ya Ustawi

Jinsi ya Kuwa na Mawazo Chanya katika Familia: Kujenga Mazingira ya Ustawi

Kama wazazi na familia, ni muhimu kujenga mazingira yenye mawazo chanya. Mawazo chanya ni muhimu ... Read More

Dalili za mwanamke anayeelekea kukukubali baada ya kurusha voko a.k.a kutongoza

Dalili za mwanamke anayeelekea kukukubali baada ya kurusha voko a.k.a kutongoza

Dalili ni hizi;

Anaongeza ukaribu

Ukiona anapenda kuwa karbu na wewe na kuandaman... Read More

Njia za Kupunguza Mazoea ya Kukosa Uwiano na Kuunda Amani na Furaha katika Familia

Njia za Kupunguza Mazoea ya Kukosa Uwiano na Kuunda Amani na Furaha katika Familia

Familia ni kitu muhimu sana katika maisha ya kila mtu. Ni katika familia ndipo tunapopata upendo,... Read More

Njia za Kuimarisha Uaminifu na Uwazi katika Mahusiano yako

Njia za Kuimarisha Uaminifu na Uwazi katika Mahusiano yako

Mahusiano ni jambo muhimu sana katika maisha ya mtu yeyote. Mahusiano yanaweza kuwa ya kimapenzi,... Read More