Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Je, mvulana atajuaje kama msichana ni bikira? Na pia, msichana anaweza kujitambua vipi kama ni bikira?

Featured Image

Mvulana hawezi kuthibitisha ubikira wa msichana kwa njia ya kumwangalia wala kwa njia ya kumwingilia kimwili. Hii ni kwa sababu ubikira ni kutowahi kujamii ana na hautegemei kuwepo kwa kizinda ndani ya uke. Yaani msichana ambaye hajawahi kujamii ana, lakini ambaye kizinda chake kimepasuliwa kwa sababu nyingine, bado ni bikira. Njia pekee ya kufahamu kama msichana ni bikira ni kufahamu kile alichofanya maishani, na hii , kwa kweli haiwezekani.
Msichana anaweza kujifahamu kuwa bikira kama hajawahi kujamii ana, yaani kuingiliwa kimwili na mwanaume au mvulana.
Jamii nyingi hutilia mkazo kuhusu ubikira wa wasichana wakati wa kuolewa. Lakini suala la kutofanya mapenzi mpaka siku ya kuolewa au kuoa ni muhimu kwa wote, wasichana na wavulana. Kutofanya mapenzi mpaka siku ya kuolewa kuna maana ya kujiepusha na shida zinazoweza kutokea, kama mimba isiyotarajiwa, magonjwa ya zinaa na hata maambukizi ya VVU na UKIMWI. Iwapo huwezi kustahimili ashiki ya kujamii ana, basi huna budi kuhakikisha kuwa unajikinga wewe na mpenzi wako asipate ujauzito na magonjwa kwa kutumia kondomu.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Jinsi ya Kukabiliana na Hisia za Kufadhaika na Utendaji wa Ngono/Kufanya mapenzi

Jinsi ya Kukabiliana na Hisia za Kufadhaika na Utendaji wa Ngono/Kufanya mapenzi

Jinsi ya Kukabiliana na Hisia za Kufadhaika na Utendaji wa Ngono/Kufanya Mapenzi 😊πŸ”₯

... Read More

Je, Ni Sahihi Kutumia Mbinu za Asili za Kuzuia Mimba?

Je, Ni Sahihi Kutumia Mbinu za Asili za Kuzuia Mimba?

Je, ni sahihi kutumia mbinu za asili za kuzuia mimba? Hii ni swali ambalo vijana wengi hujikuta w... Read More

Je, watu wanpendelea kutumia njia za asili za kupanga uzazi?

Je, watu wanpendelea kutumia njia za asili za kupanga uzazi?

Karibu kwenye makala hii kuhusu kwa nini watu wanapendelea njia za asili za kupanga uzazi. Kupang... Read More

Inakuwaje, baadhi ya Albino wana macho yanayochezacheza?

Inakuwaje, baadhi ya Albino wana macho yanayochezacheza?

Wapo baadhi ya Albino wenye macho ya kuchezacheza na
ambayo hayawezi kulenga pamoja. Hii ina... Read More

Je, ni sahihi kutumia michezo ya ngono/kufanya mapenzi kama sehemu ya uhusiano?

Je, ni sahihi kutumia michezo ya ngono/kufanya mapenzi kama sehemu ya uhusiano?

Je, ni sahihi kutumia michezo ya ngono/kufanya mapenzi kama sehemu ya uhusiano? Hili ni swali amb... Read More

Kwa nini dawa hutengenezwa na kutumika hospitalini wakati zina madhara?

Kwa nini dawa hutengenezwa na kutumika hospitalini wakati zina madhara?

Baadhi ya dawa za kulevya pamoja na dawa za kutibu, hutumika hospitali kuokoa maisha na kupunguza... Read More

Njia za Kujenga Uvumilivu na Msichana katika Changamoto za Maisha

Njia za Kujenga Uvumilivu na Msichana katika Changamoto za Maisha

Njia za Kujenga Uvumilivu na Msichana katika Changamoto za Maisha

Hakuna ubishi kwamba mai... Read More

Jinsi ya Kukabiliana na Hisia za Hatia Baada ya Kufanya Ngono

Jinsi ya Kukabiliana na Hisia za Hatia Baada ya Kufanya Ngono

Jinsi ya Kukabiliana na Hisia za Hatia Baada ya Kufanya Ngono

Karibu vijana wapendwa! Leo,... Read More

Magonjwa yatokanayo na sigara

Magonjwa yatokanayo na sigara

Kuna matatizo na magonjwa mengi na ya aina mbalimbali
unayoweza kuyapata kutokana na utuvaji... Read More

Vidokezo vya Kuonyesha Shukrani kwa Msichana Wako

Vidokezo vya Kuonyesha Shukrani kwa Msichana Wako

Kumwonyesha shukrani msichana wako ni njia moja ya kumfanya ajisikie muhimu na kupendwa. Kwa hiyo... Read More

Je, wazazi ambao wote ni Albino wanaweza kupata mtoto ambaye siyo Albino?

Je, wazazi ambao wote ni Albino wanaweza kupata mtoto ambaye siyo Albino?

Kwa kawaida, wazazi wote wakiwa Albino watazaa mtoto
Albino. Kwa maana hiyo basi, iwapo watu... Read More

Kwa nini nao watu wanaishi kwenye ndoa wanapata maambukizi ya virusi vya UKIMWI na UKIMWI?

Kwa nini nao watu wanaishi kwenye ndoa wanapata maambukizi ya virusi vya UKIMWI na UKIMWI?

Kuna sababu kuu mbili i kwa wana ndoa kupata maambukizi i ya Virusi vya UKIMWI na UKIMWI.
Kw... Read More