Kizinda ni kiwambo laini kinachokuwepo ndani ya uke. Kiwambo hiki kina tundu katikati i i ili kuwezesha damu ya hedhi kupita kiurahisi. Ukubwa na unene wa kiwambo hiki hutofautiana kati ya msichana na msichana. Wakati wa tendo la kwanza la ngono, huchanika na kwa wengi i i inasababisha kutokwa damu. Lakini pia inawezekana kutokuwepo na tendo la kutokwa damu. Hii ni kwa sababu kiwambo hiki kina asili ya kunyumbuka sana na wakati mwingine tundu lake ni kubwa. Inawezekana pia kuwa kiwambo hiki tayari kilikuwa kimeharibiwa na sababu nyingine.
Kweye Bikra, Kizinda ni nini na kinawezaje kuharibika?
Date: April 17, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Comments
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Related Posts
Jinsi ya Kuonyesha Utambulisho Wako kwa Msichana
Jinsi ya Kuonyesha Utambulisho Wako kwa Msichana
Kuonyesha utambulisho wako kwa msichana n... Read More
Je, wasichana wana viungo gani vya uzazi na kazi zake ni zipi?
Je, mvulana atajuaje kama msichana ni bikira? Na pia, msichana anaweza kujitambua vipi kama ni bikira?
Mvulana hawezi kuthibitisha ubikira wa msichana kwa njia ya kumwangalia wala kwa njia ya kumwingi... Read More
Vidokezo vya Kuwa na Msichana Mzuri wa Kuwa Naye
Vidokezo vya Kuwa na Msichana Mzuri wa Kuwa Naye
Kila mwanaume anapenda kuwa na msichana m... Read More
Kumaliza ashiki au hamu ya kufanya mapenzi
Kwa vijana mara nyingine siyo rahisi kufahamu afanye nini mara anapopata ashiki (hamu) ya kutaka ... Read More
Mama anayenyonyesha mtoto anaweza kupata mimba?
Katika miezi sita ya mwanzo baada ya kujifungua, mwanamke anayenyonyesha mtoto anapata kinga ya m... Read More
Nifanyeje Kukabiliana na Hisia za Kuwa na Hamu ya Kufanya Ngono?
Nifanyeje Kukabiliana na Hisia za Kuwa na Hamu ya Kufanya Ngono? ππ
Leo tutajadili j... Read More
Je, kuna matatizo yoyote kama mdomo wa msichana utagusana na shahawa?
Kama mpenzi wako hatakuwa na maambukizi ya magonjwa ya zinaa hakuna madhara ya kiafya. kama shaha... Read More
Je, Ni Vipi Kupata Msaada wa Kielimu Kuhusu Ngono?
Je, umewahi kujiuliza ni vipi unaweza kupata msaada wa kielimu kuhusu masuala ya ngono? Leo, tuta... Read More
Mama mwenye virusi vya UKIMWI na UKIMWI, anaweza kuzaa mtoto?
Na anaweza kumwambukiza mtoto aliye tumboni au wakati wa kumnyonyesha?
Ndiyo, mama mwenye vi...
Read More
Je, madhara gani yatawapata wasichana na wavulana wanaojamiiana kwa kutumia sehemu ya haja kubwa?
Je, kuna tofauti ya kiumri katika ngono/kufanya mapenzi?
Je, kuna tofauti ya kiumri katika ngono/kufanya mapenzi? Ndio! Kuna tofauti kubwa sana kati ya wa... Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!