Katika miezi sita ya mwanzo baada ya kujifungua, mwanamke anayenyonyesha mtoto anapata kinga ya mimba kwa asilimia kubwa. Lakini i i inabidi mama anyonyeshe mtoto kwa kipindi kirefu (muda wote mtoto awe ananyonya maziwa ya mama tu na anyonye kila anapohitaji) na vilevile mama awe hajaanza kupata hedhi yake. Kama mama ameanza kupata hedhi yake au kama anampa mtoto chakula kingine, anaweza kupata mimba tena. Kwa hivyo, anashauriwa kutumia njia za kupanga uzazi i i ili kuzuia mimba za mfululizo.
Je, mama anayenyonyesha mtoto anaweza kupata mimba?
Date: April 17, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Comments
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Related Posts
Kwa nini Albino hawapewi kazi kwa mtazamo kwamba hawawezi kazi?
Watu wengi katika jamii hawana uelewa unaotosheleza kuhusu
ulemavu wa ngozi na ulemavu wa ma...
Read More
Je, kuna tofauti za umri katika ngono/kufanya mapenzi?
Je, kuna tofauti za umri katika ngono/kufanya mapenzi? Ndio, kuna tofauti nyingi sana! Hiyo ndiyo... Read More
Jeshi la polisi linafanya nini katika kukomesha mauaji na madhara yanayotendeka kwa Albino?
Jeshi la polisi limeanza mikakati maalumu kuchunguza masuala
yote yanayohusu vitendo hivyo, ...
Read More
Ni katika umri gani vijana wana haki ya kujihusisha na mambo ya kujamiiana?
Kujamiiana ni uamuzi wa mtu binafsi. Ni uamuzi wako na hakuna
mtu yeyote mwenye haki ya kuku...
Read More
Vidokezo vya Kuonyesha Shukrani kwa Msichana Wako
Kumwonyesha shukrani msichana wako ni njia moja ya kumfanya ajisikie muhimu na kupendwa. Kwa hiyo... Read More
Je, kuna umuhimu wa kujadili masuala ya afya ya uzazi katika uhusiano?
Je, kuna umuhimu wa kujadili masuala ya afya ya uzazi katika uhusiano? Jibu ni ndio, kwa kweli! M... Read More
Kumbadilisha mtu aliyeathirika na dawa za kulevya
Endapo rafiki au jamaa anaomba msaada wa kuacha kutumia dawa za kulevya unaweza kumsaidia kwa kum... Read More
Vidokezo vya Kukabiliana na Ubaguzi katika Uhusiano wako na Msichana
Ukitafuta vidokezo vya kukabiliana na ubaguzi katika uhusiano wako na msichana, basi umefika maha... Read More
Je, Ni Vipi naweza Kupata Msaada au Elimu kuhusu Ngono?
Je, ni vipi naweza kupata msaada au elimu kuhusu ngono? π€π
Wewe kama kijana mzuri na... Read More
Kupasuka kwa kondomu
Kupasuka kwa kondomu mara nyingi kunasababishwa na kondomu kutowekwa vizuri uumeni. Ni muhimu san... Read More
Je, mbegu za kiume zinaweza kupita kwenye kondomu?
Hapana, mbegu za kiume haziwezi kupita kwenye kondomu. Kondomu zimetengenezwa ili kuzuia mbegu za... Read More
Sifa Bora za Mwanamke: Jinsi ya Kumvutia Msichana Sahihi
Sifa Bora za Mwanamke: Jinsi ya Kumvutia Msichana Sahihi
Kila mwanaume anatamani kumpata m... Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!