Kinga ya mwili ni nini?
Date: April 17, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Kinga ya mwili ni mpangilio wa mwili kujikinga na maradhi. Chembechembe nyeupe zilizopo katika damu ya mwili mzima wa binadamu zina kazi maalum katika kuhakikisha kinga ya mwili i i ipo. Kama askari jeshi wanaolinda nchi yao, chembechembe hizo kwa pamoja zinalinda mwili dhidi ya magonjwa. Hivyo, kama chembeche-mbe hizo zikishambuliwa, mwili hauwezi kujikinga na maradhi au magonjwa.
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Related Posts
Kila mtu anataka kuwa na uhuru katika uhusiano wao na msichana wao. Lakini wakati mwingine inawez...
Read More
-
Anza kwa Kujijenga Kimaumbile
Kabla ya kumwomba msichana tarehe ya ushirikiano, ni muhi...
Read More
Kama kijana, kuna wakati unaweza kukutana na msichana na unataka kuzungumza naye kwa kina lakini ...
Read More
Mapenzi ni muhimu katika uhusiano wowote wa kimapenzi. Ni muhimu kuchukua hatua za kudumisha mape...
Read More
Je, ni sahihi kufanya mapenzi na mpenzi wangu wa shule? π€
Habari vyote vijana! Leo tuta...
Read More
Jinsi ya Kukabiliana na Hali ya Kujihisi Kukataliwa kuhusu Ngono π
Karibu kwenye makala...
Read More
Nifanyeje Kukabiliana na Mawazo yasiyofaa kuhusu Ngono? π€β
-
Jua vipaumbele v...
Read More
Hapana, hii si kweli! Vijana wanaoamini kwamba wana uwezo wa kufikiri baada ya kuvuta bangi kwa s...
Read More
Punyeto ni kupapasa au kusugua kiungo cha uzazi ili uweze kupata
starehe. Hakuna kosa kwa te...
Read More
Ubikira ni nini?:Β Maana halisi ya neno βbikiraβ ni mwanamke au mwanaume amb...
Read More
Kujenga ukaribu wa kiroho na msichana katika uhusiano ni jambo muhimu sana. Uhusiano wa kimapenzi...
Read More
Viungo vya uzazi vya ndani vinaonekana katika michoro inayofuata:
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!