Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Je, ni lazima kumeza vidonge vya kuzuia mimba siku zote, hata zile siku nisipojamiiana?

Featured Image

Ndiyo, vidonge vya kuzuia mimba ni lazima vimezwe kila siku hata kama hufanyi ngono siku hiyo. Kuna aina ya vidonge vya kuzuia mimba inayokuja katika pakiti yenye vidonge 21 na kuna inayokuja katika pakiti ya vidonge 28. Iwapo utapewa ile ya vidonge 21 utapumzika kunywa siku 7 katika mwezi. Iwapo utapewa ile ya vidonge 28, itabidi kumeza kidonge kimoja kila siku, hata siku za hedhi. Ili kuhakikisha vidonge vya kuzuia mimba vinafanya kazi sawasawa, mwulize yule aliyekushauri kutumia vidonge hivyo jinsi ya kuvimeza.
Kama mwanamke akisahau kunywa kidonge hata kama ni siku moja kuna uwezekano wa kupata mimba. Anaposahau kumeza vidonge, ni vizuri zaidi watumie kondom wakati wa kujamiiana kwa kuhakikisha kutopata mimba. Hii inahusika vilevile kama mwanamke ameharisha au ametapika katika kipindi cha saa 4 tangu ameze vidonge. Kama mwanamke anashindwa kukumbuka kunywa vidonge mara kwa mara, ni vizuri zaidi apate ushauri kutoka kwenye kliniki ya uzazi wa mpango kutumia njia nyingine ya kuzuia mimba.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Ni hatua zipi zinazochukuliwa na Serikali kuhusu matumizi na biashara haramu ya dawa za kulevya?

Ni hatua zipi zinazochukuliwa na Serikali kuhusu matumizi na biashara haramu ya dawa za kulevya?

Serikali i i inatambua kukua kwa tatizo la dawa za kulevya nchini, kwani dawa za kulevya nyingi z... Read More

Je, nini imani ya watu katika kuelewa na kuheshimu ukuaji wa kingono/kufanya mapenzi wa mwenza wako?

Je, nini imani ya watu katika kuelewa na kuheshimu ukuaji wa kingono/kufanya mapenzi wa mwenza wako?

Je, nini imani ya watu katika kuelewa na kuheshimu ukuaji wa kingono/kufanya mapenzi wa mwenza wa... Read More

Je, Ni Vipi naweza Kuepuka Kufanya Ngono Kwa Sababu ya Kubembelezwa?

Je, Ni Vipi naweza Kuepuka Kufanya Ngono Kwa Sababu ya Kubembelezwa?

Je, Ni Vipi naweza Kuepuka Kufanya Ngono Kwa Sababu ya Kubembelezwa? 😊

Karibu vijana wa... Read More

Jinsi ya Kuepuka Kupotoshwa kuhusu Ngono na Mitandao ya Kijamii

Jinsi ya Kuepuka Kupotoshwa kuhusu Ngono na Mitandao ya Kijamii

Jinsi ya Kuepuka Kupotoshwa kuhusu Ngono na Mitandao ya Kijamii πŸ“±πŸ”žπŸ”’

Karibu vijana... Read More

Je, watu wanapendelea kutumia vitu kama vile nguo za ndani za kimapenzi wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Je, watu wanapendelea kutumia vitu kama vile nguo za ndani za kimapenzi wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Karibu tena kwenye blogu yetu ya mapenzi. Leo tutaangazia swali linaloulizwa mara kwa mara kuhusu... Read More

Je, Ni Vipi naweza Kupata Msaada au Elimu kuhusu Ngono?

Je, Ni Vipi naweza Kupata Msaada au Elimu kuhusu Ngono?

Je, ni vipi naweza kupata msaada au elimu kuhusu ngono? πŸ€”πŸ“š

Wewe kama kijana mzuri na... Read More

Je, nikijamiiana na mtu mwenye virusi vya UKIMWI bila kutumia kondomu, nitapata virusi vya UKIMWI na UKIMWI?

Je, nikijamiiana na mtu mwenye virusi vya UKIMWI bila kutumia kondomu, nitapata virusi vya UKIMWI na UKIMWI?

Uwezekano wa kuambukizwa na Virusi vya UKIMWI na UKIMWI ukijamii ana na mtu mwenye virusi vya UKI... Read More

Jinsi ya Kukabiliana na Ushinikizaji wa Kufanya Ngono kabla ya Wakati

Jinsi ya Kukabiliana na Ushinikizaji wa Kufanya Ngono kabla ya Wakati

Jinsi ya Kukabiliana na Ushinikizaji wa Kufanya Ngono kabla ya Wakati

Karibu vijana wapend... Read More

Je, kuna wataalamu Tanzania wanaowasaidia watu wenye matatizo ya dawa za kulevya?

Je, kuna wataalamu Tanzania wanaowasaidia watu wenye matatizo ya dawa za kulevya?

Ndiyo. Kuna mashirika yasiyo ya kiserikali (AZISE)
yanayotoa ushauri nasaha kwa watumiaji wa... Read More

Katika tendo la kujamiiana kati ya mwanaume na mwanamke, yupi anayepata starehe zaidi?

Katika tendo la kujamiiana kati ya mwanaume na mwanamke, yupi anayepata starehe zaidi?

Siyo rahisi kusema ni nani anayestarehe zaidi ya mwenziwe, kwa sababu starehe inayotokana na mwan... Read More

Vidokezo vya Kuwa na Tarehe ya Kufurahisha na Msichana

Vidokezo vya Kuwa na Tarehe ya Kufurahisha na Msichana

Hakuna kitu kizuri kama kuwa na tarehe ya kufurahisha na msichana wako. Iwe ni siku ya kuzaliwa, ... Read More

Jinsi ya Kutambua Ishara za Upendo kutoka kwa Msichana

Jinsi ya Kutambua Ishara za Upendo kutoka kwa Msichana

Upendo ni hisia ambazo zinafanya maisha kuwa na maana zaidi. Kila mtu anapaswa kupata upendo, na ... Read More