Msichana anaweza kupata mimba akijamii ana mara moja tu. Inategemea na mzunguko wa hedhi. Kama ndani ya tumbo la msichana lipo yai pevu ambalo ni tayari kwa kurutubishwa, na siku i ileile msichana anajamii ana na mvulana anaweza kupata mimba. Isitoshe, anaweza kupata mimba hata kama ni mara ya kwanza ya kujamii ana.
Msichana akijamiiana mara moja tu anaweza akapata mimba?
Date: April 16, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Comments
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Related Posts
Mtu anaweza kurithi uvutaji wa bangi?
Hapana, huwezi ukarithi uvutaji wa bangi. Lakini mara nyingi watoto huiga tabia za wazazi wao. Wa... Read More
Kwa nini uume unasimama mara nyingine wakati wa kuamka asubuhi?
Jinsi ya Kuonyesha Heshima kwa Msichana Wako
Jinsi ya Kuonyesha Heshima kwa Msichana Wako
Wanawake ni vipenzi vya thamani sana katika m... Read More
Mwanamume au mvulana anaweza kubakwa?
Ndiyo, mtu yoyote anayelazimishwa
kujamiina atakuwa
amebakwa, haijalishi kama
mtu ...
Read More
Je, Ni Lazima Kuwa na Ngono ili Kuwa na Mahusiano ya Karibu?
Je, Ni Lazima Kuwa na Ngono ili Kuwa na Mahusiano ya Karibu? π€
Karibu vijana! Leo tutaz... Read More
Njia za Kumshtua Msichana kwa Tarehe ya Kwanza
Hakuna kitu kizuri kama kukutana na msichana unayempenda kwa tarehe ya kwanza. Lakini, unapotaman... Read More
Je, watu wanapendelea kujaribu aina mbalimbali za ngono/kufanya mapenzi kama vile BDSM?
Leo tutazungumzia kuhusu kwa nini watu wanapendelea kujaribu aina mbalimbali za ngono/kufanya map... Read More
Je, watu wanapendelea ngono/kufanya mapenzi ya kimyakimya au ngono/kufanya mapenzi ya kelele?
Je, watu wanapendelea ngono/kufanya mapenzi ya kimyakimya au ngono/kufanya mapenzi ya kelele? Hii... Read More
Vidokezo vya Kuwa na Uhusiano Wenye Furaha na Msichana
Kuwa na uhusiano wenye furaha na msichana ni jambo ambalo kila mwanaume anatamani. Lakini mara ny... Read More
Je, gongo na sigara husaidia uyeyushaji wa chakula?
Ni imani na fikra potofu kwamba, ukinywa gongo au kuvuta
sigara kwa kiasi kidogo baada ya ch...
Read More
Je, watu wanaoishi na hali ya ualbino wanaweza kuzaa watoto bila matatizo?
Ulemavu wa watu wanaoishi na ualbino hauingiliani na uwezo
wa kuweza kuzaa. Tuelewe kwamba u...
Read More
Njia za Kujenga Urafiki Mzuri na Msichana Kabla ya Kuwa na Uhusiano
Karibu ndugu yangu kwenye makala hii ambao inazungumzia njia mbalimbali ambazo utaweza kutumia ku... Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!