Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Nini kifanyike ili kurekebisha matatizo ya macho ya Albino?

Featured Image

Kuishi kwa kushindwa kuona sawasawa ni changamoto ya
msingi waliyonayo Albino, inaathiri elimu yao (hususan katika
usomaji), katika kujumuika (ikiwemo kushiriki katika michezo
na kukubalika na rika lao) na katika uwezo wa kutembea katika
mazingira magumu. Matatizo huanzia pale ambapo udhaifu huu
usipotambuliwa na marekebisho yoyote yasifanywe na familia
au jamii. Kama marekebisho yatafanyika ama kwa kutumia
miwani ya macho, au kuwa na vitabu vyenye maandishi makubwa
au kutumia lensi ya kukuza maandishi au kwa kuwapa nafasi ya
mbele darasani watoto Albino wanaweza kufanya vizuri kama
watoto wengine.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Je, Tanzania kuna Albino wangapi?

Je, Tanzania kuna Albino wangapi?

Idadi kamili ya Albino Tanzania haijulikani kwani hakuna
aliyewahesabu. Inakisiwa kufuatana ... Read More

Nifanyeje kujiepusha na vishawishi vya mpenzi wangu vinavyoweza kunifanya nisitumie kondomu?

Nifanyeje kujiepusha na vishawishi vya mpenzi wangu vinavyoweza kunifanya nisitumie kondomu?

Mara nyingine siyo rahisi kujiepusha na vishawishi vya kujamiiana bila kutumia kondomu kutokana n... Read More

Je, ni matatizo yapi yanayotokana na ujauzito katika umri mkubwa?

Je, ni matatizo yapi yanayotokana na ujauzito katika umri mkubwa?

Kwa wanawake wenye miaka zaidi ya 35 uwezekano wa kupata matatizo ya kiafya wakati wa ujauzito au... Read More

Kwa nini pombe za kienyeji ni hatari kuliko pombe za viwandani?

Kwa nini pombe za kienyeji ni hatari kuliko pombe za viwandani?

Pombe zinazotengenezwa kiwandani zinafuata viwango
ambavyo ubora wake umethibitishwa kihalal... Read More

Ni hatua gani zinazochukuliwa na serikali ili kukomesha vitendo vya kuwinda Albino?

Ni hatua gani zinazochukuliwa na serikali ili kukomesha vitendo vya kuwinda Albino?

Kufuatia vitendo vibaya vya mauaji ya Albino, vilivyozuka
Tanzania tangu mwaka 2007 hadi sas... Read More

Ni dawa zipi zilizopigwa marufuku Tanzania na nini hutokea pale mwingizaji anapokamatwa?

Ni dawa zipi zilizopigwa marufuku Tanzania na nini hutokea pale mwingizaji anapokamatwa?

Hapa Tanzania matumizi, umilikaji, usafirishaji na kuhusika katika dawa za kulevya kama vile bang... Read More

Afya ya uzazi ni nini?

Afya ya uzazi ni nini?

Afya ya uzazi inahusiana na mfumo wa uzazi wa mtu, na via vya uzazi kwa watu. Kwa hali hiyo basi ina... Read More
Vidokezo vya Kufanya Msichana Ajiambie Kuwa Anakupenda

Vidokezo vya Kufanya Msichana Ajiambie Kuwa Anakupenda

Kila mwanamume anapenda kujua kama msichana anayempenda anahisi hivyo hivyo kumhusu. Lakini sio k... Read More

Ni hatua zipi zinazochukuliwa na Serikali kuhusu matumizi na biashara haramu ya dawa za kulevya?

Ni hatua zipi zinazochukuliwa na Serikali kuhusu matumizi na biashara haramu ya dawa za kulevya?

Serikali i i inatambua kukua kwa tatizo la dawa za kulevya nchini, kwani dawa za kulevya nyingi z... Read More

Je, kuna madhara msichana akifanya mapenzi wakati akiwa katika hedhi (siku zake)?

Je, kuna madhara msichana akifanya mapenzi wakati akiwa katika hedhi (siku zake)?

Kufanya mapenzi wakati msichana yuko katika hedhi hakuna madhara yoyote kiafya kwa mwanaume wala ... Read More

Sheria zinazohusiana na ndoa za kulazimishwa

Sheria zinazohusiana na ndoa za kulazimishwa

Sheria ya msingi ya ndoa nchini Tanzania ni Sheria ya ndoa ya
Bunge, iliyopitishwa mwaka 197... Read More

Kwa nini wasichana wakiingia utu uzima damu zinaanza kutoka kwenye uke?

Kwa nini wasichana wakiingia utu uzima damu zinaanza kutoka kwenye uke?

Kutoka damu (hedhi) kwa mara ya kwanza kunaitwa kuvunja ungo na hii ni dalili ya mtoto wa kike kuing... Read More