Jinsi ya kupika Vileja Vya Tambi
Date: April 18, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Viambaupishi
Tambi (vermiceli Roasted) Mifuko 2
Siagi 4 Vijiko vya supu
Maziwa (condensed) 300Ml
Lozi zilizokatwakatwa 1 kikombe
Zabibu kavu 1 Kikombe
Arki (essence) 1 Kijiko cha supu
Jinsi ya kuandaa na kupika
1) Weka karai kwenye moto kiasi
2) Tia siagi
3) Tia tambi uzikaange usiachie mkoni mpaka ziwe rangu ya dhahabu.
4) Weka lozi na zabibu huku unakoroga
5) Tia maziwa na huku unakoroga usiachie mkono.
6) Tia arki
7) Epua karai, tumia kijiko cha chai kwa kuchotea na utie kwenye kikombe cha kahawa nusu usikijaze.
8) Kipindue kwenye sahani utoe kileja.
9) Fanya hivyo mpaka umalize vyote.
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Related Posts
Mara nyingi biringanya hutumika kama kiungo cha nyongeza katika mchuzi. Hata hivyo, kiungo hiki k...
Read More
Mahitaji
Kupata takriban gilasi 6
Mabungo - 3
Maji - 6 au 7 Gi...
Read More
Kidali cha kuku 1 kikubwa
Swaum,tangawizi 1 kijiko cha chai
Limao 1/2
Pilipili ya ...
Read More
• Kula chakula bora kunamaanisha kula vyakula aina tofauti ya vyakula kila siku kama vile matun...
Read More
Mahitaji
Kunde (Ila mimi nilitumia Nigerian brown beans 1/2 kilo)
Vitunguu maji (oni...
Read More
Mahitaji
Mandazi (angalia jinsi ya kupika katika recipe ya mandazi ya nyuma)
Uyoga (...
Read More
VIAMBAUPISHI
Philo (thin pastry) manda nyembamba - 1 paketi
Siagi - ¼ Kikombe cha ...
Read More
Viambaupishi
Mchele (Basmati) 3 vikombe
Nyama ya ngo’mbe 1 kg
Pilipili boga 1 kubw...
Read More
Upishi wa Afya kwa Kompyuta: Milo Rahisi na yenye Ladha 🍲🖥️
Hivi leo, AckySHINE an...
Read More
Mahitaji
Dagaa wabichi (Fresh anchovies packet 1)
Unga wa ugali (corn meal flour 1/4...
Read More
VIPIMO
Mchele - 3 Vikombe
Mchicha
Mafuta - 1/2 kikombe
Vitunguu maji - ...
Read More
Vipimo Vya Mchuzi Wa Nyama
Nyama ya ng’ombe vipande vidogo - 2lb
Nyanya - 1
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!