Mambo 8 ya kuzingatia kabla ya kuleta mifugo (kuku, ng'ombe,mbuzi n.k) wapya bandani
Date: March 16, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Mambo hayo ni haya yafuatayo;
1. Hakikisha unaondoa matandazo yote ndani ya nyumba,
2. Ondoa vyombo vya kulishia na kunyweshea.
3. Ondoa uchafu wote unaoonekana bandani.
4. Safisha banda lote kwa kutumia maji na dawa.
5. Suuza na uache likauke.
6. Puliza dawa ya kuua wadudu.
7. Weka matandazo mapya,
8. Weka viombo vya kulishia na kunyweshea.
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Related Posts
Mtaalamu wa nyuki
Unapohitaji unahitaji kufuga nyuki ni lazima uwe na uelewa wa m...
Read More
"Cannibalism,"
Kudonoana kwa kuku ni tatizo linalo wa sumbua wengi, ni m...
Read More
NYANYA HASA KWENYE OPEN SPACE CHANGAMOTO NI NYINGI, HASA WADUDU, KAMA SASA ...
Read More
Mashonanguo kwa kiingereza ni Blackjack au kwa kisayansi yanajulikana kama (Bidens
pilosa)Read More
1. Usiuchoshe sana udongo
Udongo ni kiungo muhimu sana katika uzalishaji wa mazao...
Read More
Ukitaka kuwavutia na kuingiza nyiki kwenye mzinga unatakiwa kufanya yafuatayo;
- Tafuta ...
Read More
Utangulizi
Mbaazi ni zao la chakula ambalo pia linaweza kulimwa kama zao la bi...
Read More
Kilimo cha Parachichi nacho kinalipa ukilima.
Kutifua udongo ni jambo la muhimu sana ili kuufanya udongo kuwa bora.
<...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!