Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Sala ya Saa Tisa

Featured Image

✝⌚✝

Sala ya saa tisaπŸ™πŸΎ

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu. A mina

Yesu, ulikufa, lakini chanzo cha uhai kilitoka kwa ajili ya watu, na bahari ya huruma ilifunguka kwa ajili ya ulimwengu mzima. Ee chemchemi ya Uhai, huruma ya Mungu isiyo na mwisho, ikafunika ulimwengu mzima na ukajimwaga mwenyewe juu yetu.

❣✝❣

✝Ee Damu na Maji, yaliyotoka moyoni mwa Yesu kama chemchemi ya Huruma kwetu. Nakutumainia.

(Mara tatu)

πŸ›β£πŸ›

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Anna Malela (Guest) on September 29, 2017

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

Brian Karanja (Guest) on August 7, 2017

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

John Malisa (Guest) on July 11, 2017

Rehema hushinda hukumu

Lucy Mushi (Guest) on March 14, 2017

Neema ya Mungu inatosha kwako

Lucy Kimotho (Guest) on February 15, 2017

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

John Lissu (Guest) on January 17, 2017

πŸ™πŸ™πŸ™

Andrew Odhiambo (Guest) on December 20, 2016

Baraka kwako na familia yako.

Carol Nyakio (Guest) on December 18, 2016

Amina

Christopher Oloo (Guest) on September 29, 2016

Sifa kwa Bwana!

Thomas Mtaki (Guest) on September 20, 2016

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Monica Adhiambo (Guest) on September 3, 2016

Imani inaweza kusogeza milima

Charles Mboje (Guest) on August 12, 2016

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Henry Mollel (Guest) on April 28, 2016

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Janet Wambura (Guest) on April 26, 2016

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Wilson Ombati (Guest) on April 14, 2016

πŸ™πŸŒŸ Mungu akujalie amani

John Mushi (Guest) on October 10, 2015

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Thomas Mtaki (Guest) on September 2, 2015

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Charles Mrope (Guest) on August 25, 2015

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Anna Mchome (Guest) on August 9, 2015

Mungu ni mwema, wakati wote!

Stephen Mushi (Guest) on June 8, 2015

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Dorothy Majaliwa (Guest) on June 7, 2015

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Wilson Ombati (Guest) on May 29, 2015

πŸ™βœ¨ Mungu asikie maombi yetu

Peter Mugendi (Guest) on May 28, 2015

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Related Posts

Majitoleo ya Asubuhi

Majitoleo ya Asubuhi

Ee Baba yetu Mungu Mkuu, Umenilinda usiku huu, Ninakushukuru kwa moyo, Ee Baba, Mwana na Roho, Ni... Read More

SALA YA MTU ALIYEKABILIWA NA MATATIZO MBALIMBALI

SALA YA MTU ALIYEKABILIWA NA MATATIZO MBALIMBALI

Ewe Mtakatifu Yuda Tadei,/ mtume mtukufu na shahidi wa Kristo,/ umesifika pote kwa wepesi wako wa... Read More

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

Ee Mt. Yosefu, Baba Mlishi wa Mwokozi wangu, na mchumba safi wa Mama wa Mungu, leo ninakuchagua w... Read More

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

(Sala hii inafaa sana kwa ajili ya kutetea uhai wa watoto wachanga wakiwa tumboni mwa mama za... Read More

SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE

SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE

Ee Bwana Yesu Kristo. Mkombozi wetu, kwa mapendo na tamaa yako ya kutaka kulinda vema Kanisa lako... Read More

SALA MBELE YA KITI CHA ENZI CHA MUNGU

SALA MBELE YA KITI CHA ENZI CHA MUNGU

Sali Atukuzwe 7 kwa heshima ya Malaika 7 wateule ujipatie neema ya kuepa dhambi mbaya saba na kut... Read More

SALA YA KUTUBU

SALA YA KUTUBU

Mungu wangu ninatubu sana, niliyokosa kwako, kwani ndiwe mwema, ndiwe mwenye kupendeza, wachukiz... Read More

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Tumia tasbihi ya kawaida yenye chembe ndogo 53.

Kwenye Msalaba Sali:

... Read More
Kuweka nia njema

Kuweka nia njema

Kumheshimu Mungu wangu, Namtolea roho yangu, Nifanye kazi nipumzike, Amri zake tu nishike, Wazo n... Read More

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Ee Mungu Mwenyezi wa milele, mpaji wa mema yote, unayetusamehe na kutulinda. Utujalie sisi tunaok... Read More

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo na mafungu 7 yaani mateso 7 yenye Salamu Maria... Read More

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

Namna ya kusali Rozari kwa Bikira Maria Mama wa Msaada wa Daima

(Tumia rosari ya kawaida... Read More