Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

AMRI ZA MUNGU

Featured Image

1. NDIMI BWANA MUNGU WAKO, USIABUDU MIUNGU WENGINE.
2. USILITAJE BURE JINA LA MUNGU WAKO.
3. SHIKA KITAKATIFU SIKU YA MUNGU.
4. WAHESHIMU BABA NA MAMA, UPATE MIAKA MINGI NA HERI DUNIANI.
5. USIUE
6. USIZINI
7. USIIBE
8. USISEME UONGO
9. USITAMANI MWANAMKE ASIYE MKE WAKO
10. USITAMANI MALI YA MTU MWINGINE

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Josephine Nduta (Guest) on September 20, 2017

πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani

John Mwangi (Guest) on August 21, 2017

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

Nancy Akumu (Guest) on July 29, 2017

Imani inaweza kusogeza milima

Elizabeth Mtei (Guest) on May 31, 2017

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Josephine Nduta (Guest) on May 30, 2017

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

James Kawawa (Guest) on May 25, 2017

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Lydia Mzindakaya (Guest) on May 24, 2017

πŸ™πŸ™πŸ™

Lydia Mzindakaya (Guest) on May 12, 2017

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Alex Nakitare (Guest) on January 30, 2017

Mungu ni mwema, wakati wote!

Irene Makena (Guest) on December 31, 2016

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Samson Mahiga (Guest) on December 3, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Agnes Njeri (Guest) on November 19, 2016

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Jane Muthui (Guest) on October 13, 2016

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Lydia Mzindakaya (Guest) on September 1, 2016

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Charles Mboje (Guest) on September 1, 2016

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Irene Makena (Guest) on August 7, 2016

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Jane Muthoni (Guest) on May 31, 2016

πŸ™πŸ™πŸ™

Joy Wacera (Guest) on May 14, 2016

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Ruth Kibona (Guest) on February 15, 2016

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Janet Wambura (Guest) on October 18, 2015

Sifa kwa Bwana!

Henry Sokoine (Guest) on September 11, 2015

Mungu akubariki!

Nancy Akumu (Guest) on July 29, 2015

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Joy Wacera (Guest) on July 17, 2015

πŸ™βœ¨ Mungu atakuinua

Related Posts

SALAMU MARIA

SALAMU MARIA

Salamu Maria
Umejaa neema
Bwana yu nawe
Umebarikiwa kuliko wanawake wote
Na Y... Read More

SALA YA MATUMAINI

SALA YA MATUMAINI

Mungu wangu,

natumaini kwako nitapewa kwa njia ya Yesu Kristu,

neema zako duniani na ... Read More

Sala ya Saa Tisa

Sala ya Saa Tisa

✝⌚✝

Sala ya saa tisaπŸ™πŸΎ

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu.... Read More

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo na mafungu 7 yaani mateso 7 yenye Salamu Maria... Read More

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Ee Yesu, kupitia mikono safi ya Bikira Maria, na kwa maungano na sadaka yako kuu, ninakutolea sal... Read More

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

Namna ya kusali Rozari kwa Bikira Maria Mama wa Msaada wa Daima

(Tumia rosari ya kawaida... Read More

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na Mungu wangu/ ambaye ninasadiki kuwa upo hapa/ katika Sakramenti T... Read More

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

Read More
Sala ya Asubuhi ya kila siku

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Kwa jina la Baba….. Ee Baba yetu Mungu mkuu,umenilinda usiku huu. Nakushukuru kwa moyo, ee Baba,M... Read More
SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA YA ASUBUHI

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu,... Read More

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

Ee Mt. Yosefu, Baba Mlishi wa Mwokozi wangu, na mchumba safi wa Mama wa Mungu, leo ninakuchagua w... Read More