Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kanuni ya imani

Featured Image

Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi,/ mwumba mbingu na dunia./ Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee, Bwana wetu;/ aliyetungwa kwa Roho Mtakatifu,/ akazaliwa na Bikira Maria,/ akateswa kwa mamlaka ya Ponsyo Pilato,/ akasulubiwa, akafa, akazikwa,/ akashukia kuzimu;/ siku ya tatu akafufuka katika wafu;/ akapaa mbinguni;/ amekaa kuume kwa Mungu Baba Mwenyezi;/ toka huko atakuja kuwahukumu wazima na wafu. Nasadiki kwa Roho Mtakatifu,/ Kanisa takatifu katoliki,/ ushirika wa Watakatifu,/ maondoleo ya dhambi,/ ufufuko wa miili,/ uzima wa milele. Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Elijah Mutua (Guest) on August 19, 2017

πŸ™πŸ’– Nakusihi Mungu

Jane Malecela (Guest) on July 24, 2017

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Susan Wangari (Guest) on July 2, 2017

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

Ruth Kibona (Guest) on June 23, 2017

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Raphael Okoth (Guest) on June 21, 2017

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Carol Nyakio (Guest) on April 14, 2017

Nguvu hutoka kwa Bwana

Elizabeth Mrema (Guest) on April 2, 2017

Sifa kwa Bwana!

Charles Mrope (Guest) on March 9, 2017

πŸ™πŸ™πŸ™

Robert Okello (Guest) on November 3, 2016

πŸ™βœ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike

Patrick Kidata (Guest) on October 22, 2016

Tembea kwa imani, si kwa kuona

George Tenga (Guest) on October 20, 2016

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Margaret Mahiga (Guest) on August 23, 2016

Imani inaweza kusogeza milima

Victor Mwalimu (Guest) on June 28, 2016

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

Rose Amukowa (Guest) on April 1, 2016

Neema ya Mungu inatosha kwako

Joseph Kawawa (Guest) on March 5, 2016

πŸ™πŸ™πŸ™

Chris Okello (Guest) on January 3, 2016

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Rose Waithera (Guest) on October 23, 2015

Baraka kwako na familia yako.

Elizabeth Mtei (Guest) on September 26, 2015

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Andrew Mahiga (Guest) on August 23, 2015

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

Dorothy Mwakalindile (Guest) on July 18, 2015

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Elizabeth Mrope (Guest) on July 7, 2015

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Anthony Kariuki (Guest) on July 2, 2015

Mungu akubariki!

Diana Mumbua (Guest) on June 22, 2015

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Related Posts

Sala ya Baba Yetu: Sala ya Bwana

Sala ya Baba Yetu: Sala ya Bwana

Baba Yetu uliye mbinguni,
jina lako litukuzwe;
ufalme wako ufike,
... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

Ee Mtukufu Mt. Yosefu, ulichaguliwa na Mungu kuwa Baba Mlishi wa Yesu, mchumba safi kabisa wa Mar... Read More

SALA YA IMANI

SALA YA IMANI

Mungu wangu,

nasadiki maneno yote linalosadiki na linalofundisha kanisa katoliki la Roma;Read More

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Anza Novena hii tarehe 19 Agosti ili kumalizia tarehe 27 Agosti na kush... Read More

Sala kwa Mtakatifu Yosefu

Sala kwa Mtakatifu Yosefu

Ee Yosef mwenye heri, tunakimbilia kwako, katika masumbuko yetu, na kishaomba shime ya Mchumba wa... Read More

Sala ya Malaika wa Bwana

Sala ya Malaika wa Bwana

Malaika wa Bwana alimpasha habari Maria, naye akapata mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu. Salamu M... Read More

Majitoleo kwa Bikira Maria

Majitoleo kwa Bikira Maria

(Sala iliyotungwa na Mtk. Aloisi)
Bibi yangu mtukufu Maria, nakuwekea amana ya roho yangu na... Read More

Malkia wa Mbingu

Malkia wa Mbingu

Malkia wa mbingu, furahi, aleluya. Kwani uliyestahili kumchukua, Aleluya. Amefufuka alivyosema, A... Read More

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)