Kumheshimu Mungu wangu, Namtolea roho yangu, Nifanye kazi nipumzike, Amri zake tu nishike, Wazo neno tendo lote, Namtolea Mungu pote, Roho, mwili chote changu, pendo na uzima wangu, Mungu wangu nitampenda, Wala dhambi sitatenda, Jina lako nasifia, Utakalo hutimia, Kwa utii navumilia, Teso na matata pia, Nipe Bwana neema zako, Niongezee sifa yako, Amina.
Kuweka nia njema
Date: January 17, 2016
Author: DIN - Melkisedeck Leon Shine
Comments
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Related Posts
SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU
(Sala hii inafaa sana kwa ajili ya kutetea uhai wa watoto wachanga wakiwa tumboni mwa mama za... Read More
ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA
Namna ya kusali Rozari kwa Bikira Maria Mama wa Msaada wa Daima
(Tumia rosari ya kawaida... Read More
LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE 1
Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More
LITANIA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU
Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Kristo utuhurumie
Bwana utuhurumie ...
Read More
SALA MBELE YA KITI CHA ENZI CHA MUNGU
Sali Atukuzwe 7 kwa heshima ya Malaika 7 wateule ujipatie neema ya kuepa dhambi mbaya saba na kut... Read More
NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU
Inaweza kusemwa wakati wowote katika mwaka. Kwa ajili ya kujiandaa kwa Sikukuu ya Moyo Mtakatifu ... Read More
LITANIA YA BIKIRA MARIA MAMA WA MATESO
Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Bwana utuhurumie
Bwana utuhurumie B...
Read More
Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria
Ee Yesu, kupitia mikono safi ya Bikira Maria, na kwa maungano na sadaka yako kuu, ninakutolea sal... Read More
Sala ya Malaika wa Bwana
Malaika wa Bwana alimpasha habari Maria, naye akapata mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu. Salamu M... Read More
KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU
Ee Mt. Yosefu, Baba Mlishi wa Mwokozi wangu, na mchumba safi wa Mama wa Mungu, leo ninakuchagua w... Read More
Novena ya Noeli
Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)
Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku ... Read More
David Nyerere (Guest) on July 23, 2017
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
Elizabeth Malima (Guest) on July 20, 2017
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Alex Nyamweya (Guest) on July 10, 2017
Imani inaweza kusogeza milima
Diana Mallya (Guest) on February 6, 2017
πβ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku
Patrick Akech (Guest) on February 4, 2017
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
Nancy Kawawa (Guest) on January 6, 2017
ππ Neema za Mungu zisikose
Mary Mrope (Guest) on December 3, 2016
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
Wilson Ombati (Guest) on October 9, 2016
πβ¨π Mungu atajibu maombi yako
Jane Muthoni (Guest) on September 2, 2016
πβ¨ Mungu atupe nguvu
Anna Sumari (Guest) on August 21, 2016
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Faith Kariuki (Guest) on May 16, 2016
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Hellen Nduta (Guest) on February 1, 2016
πβ€οΈ Mungu ni mwaminifu
Esther Cheruiyot (Guest) on December 22, 2015
Tembea kwa imani, si kwa kuona
Hellen Nduta (Guest) on December 21, 2015
Rehema hushinda hukumu
Jane Muthui (Guest) on December 11, 2015
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Victor Kimario (Guest) on November 12, 2015
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Stephen Amollo (Guest) on October 12, 2015
πβ€οΈβ¨ Asante Mungu kwa kila kitu
Samson Mahiga (Guest) on October 2, 2015
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
Daniel Obura (Guest) on September 8, 2015
ππ Mungu wetu asifiwe
Jane Malecela (Guest) on August 18, 2015
Baraka kwako na familia yako.
Victor Kimario (Guest) on June 12, 2015
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Peter Otieno (Guest) on April 27, 2015
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Michael Mboya (Guest) on April 6, 2015
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida