Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Featured Image

Ee Yesu, kupitia mikono safi ya Bikira Maria, na kwa maungano na sadaka yako kuu, ninakutolea sala, matendo, kazi, masumbuko, na furaha zangu zote za siku hii ya leo, kwa ajili ya nia za Moyo wako Mtakatifu, Ee Yesu ufalme wako utufikie!

Baba Yetu….
Salamu Maria, …..
Nasadiki …….
Amri za Mungu ……
Amri za Kanisa ……

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

John Mwangi (Guest) on January 11, 2018

Rehema hushinda hukumu

Nora Lowassa (Guest) on November 7, 2017

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

John Malisa (Guest) on September 8, 2017

Baraka kwako na familia yako.

Lucy Mushi (Guest) on July 20, 2017

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

Patrick Kidata (Guest) on April 21, 2017

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

Sharon Kibiru (Guest) on April 18, 2017

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Stephen Kangethe (Guest) on March 3, 2017

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Grace Wairimu (Guest) on February 12, 2017

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Edith Cherotich (Guest) on December 11, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

Peter Mwambui (Guest) on November 24, 2016

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Catherine Naliaka (Guest) on November 16, 2016

Rehema zake hudumu milele

Simon Kiprono (Guest) on November 9, 2016

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Lucy Mahiga (Guest) on October 14, 2016

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Nicholas Wanjohi (Guest) on September 28, 2016

Mwamini katika mpango wake.

Susan Wangari (Guest) on June 5, 2016

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Robert Okello (Guest) on April 27, 2016

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Jane Malecela (Guest) on April 1, 2016

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Tabitha Okumu (Guest) on March 31, 2016

πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani

John Mushi (Guest) on December 24, 2015

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Edith Cherotich (Guest) on November 14, 2015

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Francis Njeru (Guest) on November 2, 2015

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Nora Lowassa (Guest) on June 1, 2015

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Martin Otieno (Guest) on May 18, 2015

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

Related Posts

SALA MBELE YA KITI CHA ENZI CHA MUNGU

SALA MBELE YA KITI CHA ENZI CHA MUNGU

Sali Atukuzwe 7 kwa heshima ya Malaika 7 wateule ujipatie neema ya kuepa dhambi mbaya saba na kut... Read More

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

Mtakatifu Mikaeli Malaika Mkuu, utulinde katika vita, uwe kinga yetu katika maovu na maoteo ya sh... Read More

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli ni sala nzuri sana ya kumheshimu huyu Malaika Mkuu pamoja na makun... Read More

SALA YA MATUMAINI

SALA YA MATUMAINI

Mungu wangu,

natumaini kwako nitapewa kwa njia ya Yesu Kristu,

neema zako duniani na ... Read More

AMRI ZA KANISA

AMRI ZA KANISA

1. HUDHURIA MISA TAKATIFU DOMINIKA NA SIKUKUU ZILZOAMRIWA

2. FUNGA SIKU YA JUMATANO YA MAJI... Read More

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Inaweza kusemwa wakati wowote katika mwaka. Kwa ajili ya kujiandaa kwa Sikukuu ya Moyo Mtakatifu ... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

Ee Mtukufu Mt. Yosefu, ulichaguliwa na Mungu kuwa Baba Mlishi wa Yesu, mchumba safi kabisa wa Mar... Read More

SALA KWA MALAIKA WAKO MLINZI

SALA KWA MALAIKA WAKO MLINZI

Malaika wa Mungu Mlinzi wangu mpenzi,
Ambaye upendo wake unanifanya niwepo hapa,
Uwe na... Read More

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU II

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU II

Yesu, Mungu wangu mpenzi,/ upo hapa katika Altare mbele yangu;/ na mimi napiga magoti mbele yako.... Read More

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA YA ASUBUHI

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu,... Read More

SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA

SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA

Kwa njia ya Maji haya ya Baraka,

na kwa njia ya Damu yako azizi,

na kwa maombezi ya M... Read More

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

(Sala hii inafaa sana kwa ajili ya kutetea uhai wa watoto wachanga wakiwa tumboni mwa mama za... Read More