Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

SALAMU MARIA

Featured Image

Salamu Maria
Umejaa neema
Bwana yu nawe
Umebarikiwa kuliko wanawake wote
Na Yesu mzao wa tumbo lako amebarikiwa
Maria Mtakatifu
Mama wa Mungu
Utuombee sisi wakosefu
Sasa, na saa ya kufa kwetu.
Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Kevin Maina (Guest) on January 24, 2017

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Josephine Nduta (Guest) on December 20, 2016

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Ann Awino (Guest) on November 5, 2016

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Brian Karanja (Guest) on September 10, 2016

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Moses Mwita (Guest) on August 19, 2016

πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani

Rose Kiwanga (Guest) on August 11, 2016

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Lydia Mutheu (Guest) on July 31, 2016

πŸ™πŸ’– Nakushukuru Mungu

Lydia Wanyama (Guest) on July 29, 2016

πŸ™πŸ™πŸ™

Catherine Naliaka (Guest) on July 29, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Michael Mboya (Guest) on July 11, 2016

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Emily Chepngeno (Guest) on July 4, 2016

Mwamini katika mpango wake.

Grace Njuguna (Guest) on June 5, 2016

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Raphael Okoth (Guest) on May 23, 2016

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Stephen Kangethe (Guest) on May 19, 2016

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

John Lissu (Guest) on April 30, 2016

Sifa kwa Bwana!

Lucy Mahiga (Guest) on April 4, 2016

Mungu ni mwema, wakati wote!

Esther Nyambura (Guest) on March 21, 2016

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Raphael Okoth (Guest) on January 17, 2016

πŸ™πŸ’– Nakusihi Mungu

James Kimani (Guest) on November 27, 2015

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Miriam Mchome (Guest) on November 11, 2015

Imani inaweza kusogeza milima

Mariam Hassan (Guest) on August 18, 2015

Mwamini Bwana; anajua njia

Samson Tibaijuka (Guest) on August 4, 2015

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Janet Wambura (Guest) on May 16, 2015

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Related Posts

Majitoleo kwa Bikira Maria

Majitoleo kwa Bikira Maria

(Sala iliyotungwa na Mtk. Aloisi)
Bibi yangu mtukufu Maria, nakuwekea amana ya roho yangu na... Read More

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Ee Yesu, kupitia mikono safi ya Bikira Maria, na kwa maungano na sadaka yako kuu, ninakutolea sal... Read More

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)

Mtakatifu Yuda Tadei,/ Mtume Mtakatifu,/ mtumishi mwaminifu na rafiki wa Yes... Read More

SALA YA IMANI

SALA YA IMANI

Mungu wangu,

nasadiki maneno yote linalosadiki na linalofundisha kanisa katoliki la Roma;Read More

Sala fupi ya Asubuhi

Sala fupi ya Asubuhi

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, milele na milele, Amina... Read More