Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

SALAMU MARIA

Featured Image

Salamu Maria
Umejaa neema
Bwana yu nawe
Umebarikiwa kuliko wanawake wote
Na Yesu mzao wa tumbo lako amebarikiwa
Maria Mtakatifu
Mama wa Mungu
Utuombee sisi wakosefu
Sasa, na saa ya kufa kwetu.
Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Kevin Maina (Guest) on January 24, 2017

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Josephine Nduta (Guest) on December 20, 2016

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Ann Awino (Guest) on November 5, 2016

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Brian Karanja (Guest) on September 10, 2016

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Moses Mwita (Guest) on August 19, 2016

πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani

Rose Kiwanga (Guest) on August 11, 2016

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Lydia Mutheu (Guest) on July 31, 2016

πŸ™πŸ’– Nakushukuru Mungu

Lydia Wanyama (Guest) on July 29, 2016

πŸ™πŸ™πŸ™

Catherine Naliaka (Guest) on July 29, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Michael Mboya (Guest) on July 11, 2016

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Emily Chepngeno (Guest) on July 4, 2016

Mwamini katika mpango wake.

Grace Njuguna (Guest) on June 5, 2016

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Raphael Okoth (Guest) on May 23, 2016

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Stephen Kangethe (Guest) on May 19, 2016

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

John Lissu (Guest) on April 30, 2016

Sifa kwa Bwana!

Lucy Mahiga (Guest) on April 4, 2016

Mungu ni mwema, wakati wote!

Esther Nyambura (Guest) on March 21, 2016

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Raphael Okoth (Guest) on January 17, 2016

πŸ™πŸ’– Nakusihi Mungu

James Kimani (Guest) on November 27, 2015

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Miriam Mchome (Guest) on November 11, 2015

Imani inaweza kusogeza milima

Mariam Hassan (Guest) on August 18, 2015

Mwamini Bwana; anajua njia

Samson Tibaijuka (Guest) on August 4, 2015

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Janet Wambura (Guest) on May 16, 2015

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Related Posts

ATUKUZWE BABA

ATUKUZWE BABA

Atukuzwe Baba
na Mwana
na Roho Mtakatifu
Kama mwanzo
na sasa,
na siku zo... Read More

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Tusali kila siku sala hizi, angalau kwa mwezi wa saba (Julai) kila mwaka, mwezi wa kuhesh... Read More

Kuweka nia njema

Kuweka nia njema

Kumheshimu Mungu wangu, Namtolea roho yangu, Nifanye kazi nipumzike, Amri zake tu nishike, Wazo n... Read More

Majitoleo ya Asubuhi

Majitoleo ya Asubuhi

Ee Baba yetu Mungu Mkuu, Umenilinda usiku huu, Ninakushukuru kwa moyo, Ee Baba, Mwana na Roho, Ni... Read More

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

Nakusikitikia sana Mama Mtakatifu Maria kwa sababu ya ukiwa wako mkuu. Uchungu wako ulikuwa mkubw... Read More

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Tumia tasbihi ya kawaida yenye chembe ndogo 53.

Kwenye Msalaba Sali:

... Read More
Novena ya Noeli

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)

Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku ... Read More

Kanuni ya imani

Kanuni ya imani

Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi,/ mwumba mbingu na dunia./ Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee... Read More

NOVENA YA ROHO MTAKATIFU KWA SIKU ZOTE TISA

NOVENA YA ROHO MTAKATIFU KWA SIKU ZOTE TISA

Ufuatao ni mtiririko wa Novena ya Roho Mtakatifu kwa siku zote tisa.

Kusali nov... Read More

SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE

SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE

Ee Bwana Yesu Kristo. Mkombozi wetu, kwa mapendo na tamaa yako ya kutaka kulinda vema Kanisa lako... Read More

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

Namna ya kusali Rozari kwa Bikira Maria Mama wa Msaada wa Daima

(Tumia rosari ya kawaida... Read More