Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

SALA YA MTAKATIFU INYASI

Featured Image

Roho ya Kristo unitakase
Mwili wa Kristo uniokoe
Damu ya Kristo unifurahishe
Maji ya ubavu wake Kristo yanioshe
Mateso ya Kristo nguvu yanizidishie
Ee Yesu mwema unisikilize
Katika madonda yako unifiche
Usikubali nitengwe nawe
Na adui mwovu unikinge
Saa ya kufa kwangu uniite
Uniamuru kwako nije
Na watakatifu wako nikutukuze
Milele na milele.
Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Elizabeth Malima (Guest) on March 27, 2018

Nakuombea πŸ™

James Malima (Guest) on November 14, 2017

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Frank Macha (Guest) on October 23, 2017

πŸ™πŸ’–πŸ™ Mungu akufunike na upendo

Patrick Akech (Guest) on August 21, 2017

Mungu ni mwema, wakati wote!

Peter Mwambui (Guest) on August 17, 2017

Endelea kuwa na imani!

Nancy Kawawa (Guest) on July 6, 2017

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

George Mallya (Guest) on June 8, 2017

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Peter Tibaijuka (Guest) on May 10, 2017

Mwamini Bwana; anajua njia

Victor Mwalimu (Guest) on April 28, 2017

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

Nora Lowassa (Guest) on April 3, 2017

Imani inaweza kusogeza milima

Mary Sokoine (Guest) on February 28, 2017

πŸ™βœ¨ Mungu asikie maombi yetu

Robert Ndunguru (Guest) on January 17, 2017

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Edith Cherotich (Guest) on January 7, 2017

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Michael Onyango (Guest) on December 12, 2016

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Nancy Kabura (Guest) on November 12, 2016

Nguvu hutoka kwa Bwana

Ruth Wanjiku (Guest) on November 4, 2016

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Edward Lowassa (Guest) on November 4, 2016

πŸ™πŸ™πŸ™

Peter Mwambui (Guest) on September 28, 2016

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

Joseph Kiwanga (Guest) on September 14, 2016

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

David Kawawa (Guest) on August 31, 2016

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Agnes Njeri (Guest) on August 23, 2016

πŸ™πŸ™πŸ™

Grace Mligo (Guest) on June 15, 2016

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Grace Mligo (Guest) on November 7, 2015

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Agnes Sumaye (Guest) on October 4, 2015

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Janet Mbithe (Guest) on September 16, 2015

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Related Posts

Malkia wa Mbingu

Malkia wa Mbingu

Malkia wa mbingu, furahi, aleluya. Kwani uliyestahili kumchukua, Aleluya. Amefufuka alivyosema, A... Read More

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU I

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU I

Utukuzwe ee Bwana wangu Yesu Kristo./ Uliagua kifo chako./ Katika karamu ya mwisho ulitumia mkate... Read More

Kuweka nia njema

Kuweka nia njema

Kumheshimu Mungu wangu, Namtolea roho yangu, Nifanye kazi nipumzike, Amri zake tu nishike, Wazo n... Read More

Sala ya Saa Tisa

Sala ya Saa Tisa

✝⌚✝

Sala ya saa tisaπŸ™πŸΎ

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu.... Read More

SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE

SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE

Ee Bwana Yesu Kristo. Mkombozi wetu, kwa mapendo na tamaa yako ya kutaka kulinda vema Kanisa lako... Read More

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)

Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku ... Read More

Sala ya kuomba Kifo chema

Sala ya kuomba Kifo chema

Enyi Yesu na Maria na Yosefu,

nawatolea Moyo, na roho, na uzima wangu.

Enyi Yesu na M... Read More

SALA ZA IBADA KWA BIKIRA MARIA WA MATESO

SALA ZA IBADA KWA BIKIRA MARIA WA MATESO

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo ... Read More

SALA YA KUTUBU

SALA YA KUTUBU

Mungu wangu ninatubu sana, niliyokosa kwako, kwani ndiwe mwema, ndiwe mwenye kupendeza, wachukiz... Read More

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)