Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

Featured Image

Nakusikitikia sana Mama Mtakatifu Maria kwa sababu ya ukiwa wako mkuu. Uchungu wako ulikuwa mkubwa sana ulipotazama mateso na kifo cha Mwana wako mpenzi. Muda ule uliweza kutuliz kidogo kwa sababu ya kumwona angali hai. Lakini je, baada ya kufa na kumzika? Sasa wewe ni mkiwa mkubwa mno! Uh, ukiwa wa pekee, uniombee mimi ninayempoteza mara nyingi kwa dhambi zangu. Unijalie nisimpoteze tena Yesu wangu kwa ubaya wa uvivu wangu, bali nimtumikie kiaminifu duniani hapa ili nimwone na kumfurahia milele mbinguni. Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Rose Amukowa (Guest) on November 19, 2017

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

Dorothy Nkya (Guest) on November 16, 2017

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

David Chacha (Guest) on November 4, 2017

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

David Nyerere (Guest) on October 7, 2017

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

Charles Wafula (Guest) on October 7, 2017

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Tabitha Okumu (Guest) on September 24, 2017

πŸ™βœ¨ Mungu asikie maombi yetu

Edith Cherotich (Guest) on September 2, 2017

Amina

Lydia Mahiga (Guest) on August 26, 2017

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

George Mallya (Guest) on August 5, 2017

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Vincent Mwangangi (Guest) on May 10, 2017

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Elijah Mutua (Guest) on May 1, 2017

Neema ya Mungu inatosha kwako

Ruth Wanjiku (Guest) on March 29, 2017

Mwamini katika mpango wake.

Elizabeth Mrema (Guest) on March 22, 2017

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Monica Adhiambo (Guest) on March 6, 2017

Katika imani, yote yanawezekana

Frank Sokoine (Guest) on March 5, 2017

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Linda Karimi (Guest) on December 13, 2016

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Nora Lowassa (Guest) on December 7, 2016

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Brian Karanja (Guest) on September 16, 2016

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

Charles Wafula (Guest) on July 19, 2016

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Lucy Kimotho (Guest) on May 31, 2016

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Moses Mwita (Guest) on January 25, 2016

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Peter Tibaijuka (Guest) on August 18, 2015

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Anna Mahiga (Guest) on April 6, 2015

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Related Posts

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

Read More
Sala ya Malaika wa Bwana

Sala ya Malaika wa Bwana

Malaika wa Bwana alimpasha habari Maria, naye akapata mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu. Salamu M... Read More

Sala ya Medali ya Mwujiza

Sala ya Medali ya Mwujiza

Ee Bikira Maria uliyekingiwa dhambi ya asili, utuombee sisi wenye kukimbilia kwako, uwaombee na w... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

Ee Mtukufu Mt. Yosefu, ulichaguliwa na Mungu kuwa Baba Mlishi wa Yesu, mchumba safi kabisa wa Mar... Read More

SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI

SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI

Mama Mtakatifu, Mama wa Mungu na Malkia wa Mashahidi, leo nakuchagua Wewe uwe mfano wangu, mkinga... Read More

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Anza Novena hii tarehe 19 Agosti ili kumalizia tarehe 27 Agosti na kush... Read More

SALA ZA IBADA KWA BIKIRA MARIA WA MATESO

SALA ZA IBADA KWA BIKIRA MARIA WA MATESO

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo ... Read More

Sala fupi ya Asubuhi

Sala fupi ya Asubuhi

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, milele na milele, Amina... Read More

SALA YA NOVENA KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

SALA YA NOVENA KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Ee Moyo Mtakatifu sana wa Yesu, chemchemi ya kila baraka, ninakuabudu, ninakupenda, na kwa majuto... Read More

Sala ya Saa Tisa

Sala ya Saa Tisa

✝⌚✝

Sala ya saa tisaπŸ™πŸΎ

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu.... Read More

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)

Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku ... Read More

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

Ee Mt. Yosefu mwenye heri, tunakimbilia kwako katika masumbuko yetu, na kisha omba shime ya Mchum... Read More