Mama Mtakatifu, Mama wa Mungu na Malkia wa Mashahidi, leo nakuchagua Wewe uwe mfano wangu, mkingaji na mteteaji wangu. Naweka roho fukara katika moyo wako uliotobolewa na panga nyingi za mateso. Unipokee mimi niwe mtumishi wako wa pekee na mshiriki wa mateso yako. Nijalie nguvu niwe daima karibu na msalaba ule alikosulibiwa Yesu. Nakutolea nafsi yangu na mali yangu yote. Pokea kila tendo langu jema ukalisindikize kwa Mwanao, Mama, nifanye nistahili kuitwa mtumishi wa Maria, Simama karibu yangu katika matendo yangu yote ili yafanwe kwa sifa ya Mungu. Ulivyosimama karibu kabisa ya Mwanao alipokufa msalabani uwe karibu nami saa ya kufa kwangu. Nijalie niweze kutaja jina lako na la Mwana wako nikisema: βYesu, Maria na Yosef mnisaidie saa ya kufa kwangu. Yesu, maria na Yosef, naomba nife kwa amani kati yenu!β . Amina.
SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI
Date: August 1, 2015
Author: DIN - Melkisedeck Leon Shine
Comments
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Related Posts
AMRI ZA MUNGU
1. NDIMI BWANA MUNGU WAKO, USIABUDU MIUNGU WENGINE.
2. USILITAJE BURE JINA LA MUNGU WAKO.
SALA YA JIONI
TUNAKUSHUKURU, EE MUNGU KWA MAPAJI YOTE ULIYOTUJALIA LEO AMINA
BABA YETUβ¦β¦β¦β¦β...
Read More
SALA YA KUOMBEA FAMILIA
Ewe Mungu Mwenyezi, sisi kama familia tunakushukuru kwa zawadi ya Mama Kanisa Katoliki ambaye sik... Read More
Majitoleo ya Asubuhi
Ee Baba yetu Mungu Mkuu, Umenilinda usiku huu, Ninakushukuru kwa moyo, Ee Baba, Mwana na Roho, Ni... Read More
KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU
Ee Mt. Yosefu, Baba Mlishi wa Mwokozi wangu, na mchumba safi wa Mama wa Mungu, leo ninakuchagua w... Read More
NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU
Inaweza kusemwa wakati wowote katika mwaka. Kwa ajili ya kujiandaa kwa Sikukuu ya Moyo Mtakatifu ... Read More
SALA KWA MAMA WA UCHUNGU KUOMBA NEEMA YA PEKEE
Ee Mama mbarikiwa na Bikira mwenye uchungu, Malkia wa Mashahidi, uliyesimama chini ya msalaba na ... Read More
SALA ZA KUMWABUDU YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU
SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU
Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na M... Read More
SALA YA NOVENA YA SIKU TISA KWA MT. YOSEFU, YA ZAMANI, MIAKA 1900 ILIYOPITA
Ee Mt. Yosefu, ambaye ulinzi wako ni mkubwa, wenye nguvu na wa haraka mbele ya Kiti cha Enzi cha ... Read More
Novena ya Noeli
Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)
Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku ... Read More
Wilson Ombati (Guest) on November 7, 2018
πβ€οΈβ¨ Mungu akujalie furaha
Josephine Nekesa (Guest) on October 3, 2018
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
Kenneth Murithi (Guest) on January 24, 2018
ππ Neema za Mungu zisikose
Susan Wangari (Guest) on January 7, 2018
ππ Nakushukuru Mungu
Janet Sumaye (Guest) on December 21, 2017
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
Lydia Wanyama (Guest) on September 11, 2017
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Betty Kimaro (Guest) on August 24, 2017
Katika imani, yote yanawezekana
Robert Okello (Guest) on June 29, 2017
Dumu katika Bwana.
Elizabeth Mtei (Guest) on April 24, 2017
πππ« Mungu ni mwema
Joyce Mussa (Guest) on February 23, 2017
ππ Mungu akujalie amani
Frank Sokoine (Guest) on February 22, 2017
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Janet Mbithe (Guest) on February 20, 2017
πβ€οΈπ Asante Mungu kwa uhai
Lydia Wanyama (Guest) on December 14, 2016
Nakuombea π
Paul Kamau (Guest) on December 8, 2016
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Alice Mwikali (Guest) on May 25, 2016
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Benjamin Masanja (Guest) on May 25, 2016
πβ€οΈβ¨ Asante Mungu kwa kila kitu
Stephen Mushi (Guest) on February 25, 2016
πβ¨ Neema ya Mungu iwe nawe
Samuel Omondi (Guest) on December 15, 2015
ππ Mungu alete amani
Frank Macha (Guest) on November 28, 2015
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Joseph Kawawa (Guest) on November 15, 2015
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
Alice Jebet (Guest) on July 25, 2015
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Charles Mrope (Guest) on July 24, 2015
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
Stephen Kikwete (Guest) on May 6, 2015
Rehema hushinda hukumu