Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI

Featured Image

Mama Mtakatifu, Mama wa Mungu na Malkia wa Mashahidi, leo nakuchagua Wewe uwe mfano wangu, mkingaji na mteteaji wangu. Naweka roho fukara katika moyo wako uliotobolewa na panga nyingi za mateso. Unipokee mimi niwe mtumishi wako wa pekee na mshiriki wa mateso yako. Nijalie nguvu niwe daima karibu na msalaba ule alikosulibiwa Yesu. Nakutolea nafsi yangu na mali yangu yote. Pokea kila tendo langu jema ukalisindikize kwa Mwanao, Mama, nifanye nistahili kuitwa mtumishi wa Maria, Simama karibu yangu katika matendo yangu yote ili yafanwe kwa sifa ya Mungu. Ulivyosimama karibu kabisa ya Mwanao alipokufa msalabani uwe karibu nami saa ya kufa kwangu. Nijalie niweze kutaja jina lako na la Mwana wako nikisema: β€œYesu, Maria na Yosef mnisaidie saa ya kufa kwangu. Yesu, maria na Yosef, naomba nife kwa amani kati yenu!” . Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Wilson Ombati (Guest) on November 7, 2018

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

Josephine Nekesa (Guest) on October 3, 2018

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Kenneth Murithi (Guest) on January 24, 2018

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Susan Wangari (Guest) on January 7, 2018

πŸ™πŸ’– Nakushukuru Mungu

Janet Sumaye (Guest) on December 21, 2017

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Lydia Wanyama (Guest) on September 11, 2017

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Betty Kimaro (Guest) on August 24, 2017

Katika imani, yote yanawezekana

Robert Okello (Guest) on June 29, 2017

Dumu katika Bwana.

Elizabeth Mtei (Guest) on April 24, 2017

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Joyce Mussa (Guest) on February 23, 2017

πŸ™πŸŒŸ Mungu akujalie amani

Frank Sokoine (Guest) on February 22, 2017

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Janet Mbithe (Guest) on February 20, 2017

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Lydia Wanyama (Guest) on December 14, 2016

Nakuombea πŸ™

Paul Kamau (Guest) on December 8, 2016

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Alice Mwikali (Guest) on May 25, 2016

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Benjamin Masanja (Guest) on May 25, 2016

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

Stephen Mushi (Guest) on February 25, 2016

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Samuel Omondi (Guest) on December 15, 2015

πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani

Frank Macha (Guest) on November 28, 2015

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Joseph Kawawa (Guest) on November 15, 2015

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Alice Jebet (Guest) on July 25, 2015

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Charles Mrope (Guest) on July 24, 2015

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Stephen Kikwete (Guest) on May 6, 2015

Rehema hushinda hukumu

Related Posts

AMRI ZA MUNGU

AMRI ZA MUNGU

1. NDIMI BWANA MUNGU WAKO, USIABUDU MIUNGU WENGINE.
2. USILITAJE BURE JINA LA MUNGU WAKO.Read More

SALA YA JIONI

SALA YA JIONI

TUNAKUSHUKURU, EE MUNGU KWA MAPAJI YOTE ULIYOTUJALIA LEO AMINA


BABA YETU…………β... Read More

SALA YA KUOMBEA FAMILIA

SALA YA KUOMBEA FAMILIA

Ewe Mungu Mwenyezi, sisi kama familia tunakushukuru kwa zawadi ya Mama Kanisa Katoliki ambaye sik... Read More

Majitoleo ya Asubuhi

Majitoleo ya Asubuhi

Ee Baba yetu Mungu Mkuu, Umenilinda usiku huu, Ninakushukuru kwa moyo, Ee Baba, Mwana na Roho, Ni... Read More

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

Ee Mt. Yosefu, Baba Mlishi wa Mwokozi wangu, na mchumba safi wa Mama wa Mungu, leo ninakuchagua w... Read More

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Inaweza kusemwa wakati wowote katika mwaka. Kwa ajili ya kujiandaa kwa Sikukuu ya Moyo Mtakatifu ... Read More

SALA KWA MAMA WA UCHUNGU KUOMBA NEEMA YA PEKEE

SALA KWA MAMA WA UCHUNGU KUOMBA NEEMA YA PEKEE

Ee Mama mbarikiwa na Bikira mwenye uchungu, Malkia wa Mashahidi, uliyesimama chini ya msalaba na ... Read More

SALA ZA KUMWABUDU YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

SALA ZA KUMWABUDU YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na M... Read More

SALA YA NOVENA YA SIKU TISA KWA MT. YOSEFU, YA ZAMANI, MIAKA 1900 ILIYOPITA

SALA YA NOVENA YA SIKU TISA KWA MT. YOSEFU, YA ZAMANI, MIAKA 1900 ILIYOPITA

Ee Mt. Yosefu, ambaye ulinzi wako ni mkubwa, wenye nguvu na wa haraka mbele ya Kiti cha Enzi cha ... Read More

ATUKUZWE BABA

ATUKUZWE BABA

Atukuzwe Baba
na Mwana
na Roho Mtakatifu
Kama mwanzo
na sasa,
na siku zo... Read More

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)

Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku ... Read More

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)