Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

SALA YA KUTUBU

Featured Image

Mungu wangu ninatubu sana, niliyokosa kwako, kwani ndiwe mwema, ndiwe mwenye kupendeza, wachukizwa na dhambi, basi sitaki kukosa tena, nitafanya kitubio, naomba neema yako nipate kurudi wkako. Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Fredrick Mutiso (Guest) on May 16, 2018

Nakuombea πŸ™

Jane Muthui (Guest) on April 8, 2018

πŸ™β€οΈπŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe

Monica Nyalandu (Guest) on January 13, 2018

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Thomas Mtaki (Guest) on October 23, 2017

Katika imani, yote yanawezekana

Victor Malima (Guest) on April 11, 2017

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Zainab (Guest) on March 9, 2017

πŸ™πŸ™πŸ™

Lucy Kimotho (Guest) on January 30, 2017

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Kenneth Murithi (Guest) on January 15, 2017

Neema ya Mungu inatosha kwako

Josephine Nekesa (Guest) on January 6, 2017

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Moses Mwita (Guest) on November 21, 2016

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Lydia Mzindakaya (Guest) on September 2, 2016

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Elijah Mutua (Guest) on August 29, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Joseph Kitine (Guest) on May 29, 2016

πŸ™βœ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku

Charles Mrope (Guest) on May 13, 2016

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

John Mwangi (Guest) on April 30, 2016

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Samuel Were (Guest) on April 25, 2016

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Jane Malecela (Guest) on April 13, 2016

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Grace Wairimu (Guest) on March 29, 2016

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Moses Kipkemboi (Guest) on January 21, 2016

Baraka kwako na familia yako.

Grace Minja (Guest) on January 18, 2016

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Josephine Nekesa (Guest) on January 2, 2016

πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani

David Sokoine (Guest) on November 11, 2015

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Agnes Sumaye (Guest) on August 19, 2015

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Linda Karimi (Guest) on August 9, 2015

Dumu katika Bwana.

Related Posts

Kanuni ya imani

Kanuni ya imani

Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi,/ mwumba mbingu na dunia./ Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee... Read More

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

Ee Mt. Yosefu mwenye heri, tunakimbilia kwako katika masumbuko yetu, na kisha omba shime ya Mchum... Read More

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Kwa jina la Baba….. Ee Baba yetu Mungu mkuu,umenilinda usiku huu. Nakushukuru kwa moyo, ee Baba,M... Read More
SALA YA MAOMBI KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

SALA YA MAOMBI KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Ee Moyo Mtakatifu wa Yesu, ninakukimbilia, ninakuja kwako katika mikono yako yenye huruma. Ndiwe ... Read More

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA YA ASUBUHI

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu,... Read More

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU I

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU I

Utukuzwe ee Bwana wangu Yesu Kristo./ Uliagua kifo chako./ Katika karamu ya mwisho ulitumia mkate... Read More

LITANIA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

LITANIA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Kristo utuhurumie
Bwana utuhurumie ... Read More

Sala ya Malaika wa Bwana

Sala ya Malaika wa Bwana

Malaika wa Bwana alimpasha habari Maria, naye akapata mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu. Salamu M... Read More

SALA ZA IBADA KWA BIKIRA MARIA WA MATESO

SALA ZA IBADA KWA BIKIRA MARIA WA MATESO

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo ... Read More

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)