Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMS💌💕
AckyShine

Maana ya kuushinda ulimwengu

Featured Image
Ni kuacha kufuata akili yako na mwili wako huku ukiufuata moyo wako wakati ukijua moyoni mwako Roho Wa Mungu yupo na anafanya kazi.
100 Comments

Vile unavyoweza kuwa DARAJA au KIKWAZO kwa wengine

Featured Image
Kwa namna unayoishi unaweza ukawa daraja au kikwazo cha wengine kuishi maisha ya Amani raha na fanaka. Unaweza ukawa daraja kwa maana kwamba wewe unaweza kuwa sababu ya wengine kupata Baraka na neema za Mungu. Unaweza kuwa kikwazo kwa maana kwamba unaweza kuwa wewe ni sababu ya wengine kutokupata Baraka na Neema za Mungu.
101 Comments

Umakini katika kuwaza

Featured Image
Kuwa makini sana na mawazo yako, Yanaweza kukupeleka Mbinguni au motoni. Kumbuka vile unavyowaza ndivyo utakavyovitenda. Amua kuwaza mema kutoka ndani ya moyo wako kisha utatenda mema katika maisha yako Kumbuka Mungu humhukumu mtu kwa mawazo yake maana mawazo ya mtu ndiyo mtu mwenyewe Tuwaze mema wapenzi ili tuwe wema
100 Comments

Nguvu ya Huruma ya Mungu: Ukarabati wa Kina

Featured Image
Nguvu ya huruma ya Mungu ni sawa na upepo mwanana unaoleta uponyaji na ukarabati wa kina. Hata kama maisha yako yanaweza kutoa changamoto nyingi, usikate tamaa! Kuna tumaini na neema tele kutoka kwa Mungu. Karibu na upokee ukarabati wa kina kupitia huruma yake!
50 Comments

Yesu Yupo Karibu na Wewe Unapoanguka Dhambini: Huruma ya Yesu Kristo kwa Mwenye dhambi

Featured Image
Wakati mtu anapoanguka dhambini ndio wakati ambao Yesu anakua karibu na mtu sana hata kuzidi wakati mwingine wowote. Wakati mtu anapoanguka dhambini ndio Yesu anakua karibu zaidi, lakini tatizo ni kwamba huo ni wakati ambao mtu hawezi kutambua uwepo wa Yesu. Neno moja tuu la Matumaini na Upendo wakati huo linaweza kumfungua mtu na kumbadilisha.
100 Comments

Mungu Anakuita Na Kukupa Nafasi Ya Kutubu Na Kumrudia Yeye Ili Akusamehe na Kukubariki

Featured Image
Unaalikwa kutubu na kumrudia Mungu kwa Moyo Wako wote na kwa nia dhabiti. Mungu atakusamehe dhambi zako na kukufanya kuwa mpya. ...Ingekuwa heri leo usikie sauti yake! Usifanye moyo wako kuwa mgumu.
100 Comments

Nguvu na Umuhimu wa Upendo

Featured Image
Katika fadhila zote, upendo ndio unaonyesha uwepo wa fadhila nyingine Upendo ni Amri kubwa kuliko zote Upendo ni Utimilifu wa Sheria Upendo ni Utakatifu
100 Comments

Kutukuza Huruma ya Mungu: Kupata Neema na Ukombozi

Featured Image
Kutukuza Huruma ya Mungu ni njia ya kupata Neema na Ukombozi - hakuna jambo bora kuliko kumshukuru Mungu kwa kila kitu.
50 Comments

TAFAKARI KUHUSU NAFASI YA MATESO NA SHIDA KATIKA MAISHA

Featured Image
Mungu hapendi mtu Ateseke lakini ni kwa njia ya ya Mateso mtu anaweza akapimwa IMANI yake, UNYENYEKEVU, UTII na Matumaini yake kwa Mungu. Mateso na shida katika maisha ni nafasi ya kujifunza na Kuonyesha unyenyekevu, Imani na Matumaini ya mtu.
100 Comments

Kuomba Huruma ya Mungu: Njia ya Upatanisho na Utakaso

Featured Image
Kuomba Huruma ya Mungu: Njia ya Upatanisho na Utakaso Wakati mwingine tunahitaji kusafisha roho zetu na kusimama katika utakatifu. Kuomba huruma ya Mungu ni njia bora ya kufikia hili. Ni wakati wa kusimama mbele za Mungu na kuomba msamaha kwa dhambi zetu, tukiamini kwamba yeye atatupatanisha na kutakasa roho zetu. Kwa hivyo, hapa ndiyo tunapoomba huruma ya Mungu, tunapata njia ya upatanisho na utakaso. Ni wakati wa kubadilisha mwelekeo wa maisha yetu na kumruhusu Mungu awe na udhibiti kamili. Kwa hivyo, acha kila kitu na chukua muda wako kwa sala, kuomba huruma ya Mungu na kusafisha roho yako.
50 Comments