Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMS💌💕
AckyShine

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Featured Image
236 Comments

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

Featured Image
John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na nyumbani kwake, akaulizwa kwako unapakumbuka?
236 Comments

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Featured Image

Jamaa alimpa ujauzito mwanafunzi akashtakiwa kumbe yule jamaa ana bibi yake mtaalam wamambo yetu ya Jadi…

Jamaa akaongea na bibi yake amuwekee jinsia ya kike ili akashinde Mahakamani na akitoka arudishiwe mambo yake kama kawaida.

 

237 Comments

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Featured Image
237 Comments

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Featured Image
238 Comments

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

Featured Image
236 Comments

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Featured Image
Boss mmoja aliingia kazini kwake kasahau kufunga zipu ya suruali yake sasa secretary wake akamfuata na mazungumzo yakawa hivi: SECRETARY: Boss leo umesahau kufunga geti nyumbani kwako… Boss akabaki anashangaa… Baadae wakati anakwenda chooni kujisaidia ile anataka kufungua zipu akaikuta iko wazi ndio akajua alichokuwa ameambiwa na Secretary wake.
236 Comments

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Featured Image
236 Comments

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Featured Image
Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we mtoto! Niondolee wehu wako hapa!"
236 Comments

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Featured Image
236 Comments