Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMS💌💕
AckyShine

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Featured Image
Boss mmoja aliingia kazini kwake kasahau kufunga zipu ya suruali yake sasa secretary wake akamfuata na mazungumzo yakawa hivi: SECRETARY: Boss leo umesahau kufunga geti nyumbani kwako… Boss akabaki anashangaa… Baadae wakati anakwenda chooni kujisaidia ile anataka kufungua zipu akaikuta iko wazi ndio akajua alichokuwa ameambiwa na Secretary wake.
236 Comments

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Featured Image
238 Comments

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Featured Image
Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "Naitwa John nimepiga simu kutangaza kuwa nimeokota wallet ndani ina laki 7, ATM Card na kikaratasi chenye PIN ya ATM Card na kijimkufu cha dhahabu kinene hivi…"
236 Comments

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Featured Image
236 Comments

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

Featured Image
237 Comments

Angalia haya mazungumzo ya msichana na mvulana, mapenzi ya ajabu haya

Featured Image
Demu: Hny mambo jamani! Man: Safi nipe habari wangu wa moyo Demu:Wafanya kazi gani vile wangu? Man: Ni fundi wa kufunga ATM Demu: Wow dont tel me i love you myn mwa mwa mwaaaaah
236 Comments

Nilichokifanya leo

Featured Image
236 Comments

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Featured Image
236 Comments

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Featured Image
237 Comments

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Featured Image
Baada ya kumaliza Degree yake ya sheria Bwana Rwegashora aliamua kurudi nyumbani Bukoba mjini na kufungua ofisi yake kwa ajili ya huduma kwa wateja. Siku moja akiwa ndani ya ofisi yake alimuona mtanashati na mdada mmoja mrembo anakuja ofisini kwake akajua ni mteja anamletea kesi. Ndipo akanyanyua mkoni wa wa simu ya TTCL na kuanza kuongea huku anajizunguusha kwenye kiti cha kuzunguuka.
236 Comments