Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMS💌💕
AckyShine

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Featured Image
236 Comments

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Featured Image

Wanafunzi waliulizwa na mwalimu nani angependa kwenda peponi? Wote wakanyosha ila mmoja tu alipokwenda nyumbani akamuelezea mamake, mamake akamuuliza je wewe ulinyosha mtoto hapana mama yule mama akamuuliza kwanini.

236 Comments

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Featured Image
236 Comments

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Featured Image
Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we mtoto! Niondolee wehu wako hapa!"
236 Comments

Tenda Wema Uende Zako

Featured Image
236 Comments

Ni wazo tuu!

Featured Image
236 Comments

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Featured Image

Mwanafunzi wa darasa la 2 kaulizwa na mwalimu wake

Hivi:je ukipewa maandazi 5 ukiambiwa kula 3 tu yatabaki mangapi?

Akamjibu hivi:nikipewa na chai hakibaki kitu mwalimu.

236 Comments

Biashara ambayo imefeli

Featured Image
238 Comments

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Featured Image
238 Comments

Jinsi Mapenzi yanavyoweza kukupa stress

Featured Image
237 Comments